Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Mashabiki wa mbumbumbu wanaupiga sana vita uwanja wa CHAMAZI kwamba auwapi matokeo wanayotaka kisa tu yanga anapata matokeo Kila akicheza pale, Sasa nawauliza uwanja wa uhuru umefungiwa mtakimbilia wapi?
Mtaenda Zanzibar au mikoani? Mwisho wa siku akuna ujanja mtachezea CHAMAZI mtake msitake kinachotakiwa ni kuboresha timu yenu, mkiambiwaga timu yenu ni kikundi Cha matapeli wanaopiga pesa za mhindi wa Bombay mnashupaza shingo zenu Sasa mnaanza kuokoteza visababu vya kijingajinga mnaleta hapa!
TUNAWASUBILIA mchague uwanja wa kutumia TUONE!
Mtaenda Zanzibar au mikoani? Mwisho wa siku akuna ujanja mtachezea CHAMAZI mtake msitake kinachotakiwa ni kuboresha timu yenu, mkiambiwaga timu yenu ni kikundi Cha matapeli wanaopiga pesa za mhindi wa Bombay mnashupaza shingo zenu Sasa mnaanza kuokoteza visababu vya kijingajinga mnaleta hapa!
TUNAWASUBILIA mchague uwanja wa kutumia TUONE!