Simba mrejesheni dimbani Jonas Mkude

Simba mrejesheni dimbani Jonas Mkude

kukumsela

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
725
Reaction score
917
Mimi ni shabiki kindakindaki wa klabu ya Simba binafsi toka huyu jamaa (jonas mkude aka nungunungu) awe nje ya uwanja pengo lake linaoneka na hata baada ya kusajiliwa kiungo wa kimataifa kutoka uganda Engineer Thadey Lwanga. Namshauri kocha wangu wa simba dider gomez amrejeshe dimbani shujaa wetu jonas mwana wa mkude. #SIMBANGUVUMOJA

Naomba kuwasilisha
 
Mimi ni shabiki kindakindaki wa Simba binafsi toka huyu jamaa awe nje ya uwanja pengo lake linaoneka na hata baada ya kusajili Thadey Lwanga. Namshauri kocha wangu wa simba amrejeshe dimbani shujaa wetu jonas mwana mkude.

Naomba kuwasilisha
Hana nidhamu acha akae nje kwanza
 
Back
Top Bottom