Simba mrejesheni dimbani Jonas Mkude

Kwa uwezo alioonyesha thadeo mkude asahau ile nafasi jambo muhimu ni kwamba siku akipta nafasi ya kucheza mbele tadeo basi ainyeshe uwezo mkubwa
 
Inaonekana wewe siyo mfuasi wa Simba
 
Mkude kwa game jana dhidi ya african lyon umedhirisha kuwa dimba la kati ni lako hakuna wa kukuzidi.
 
Ngoja Lwanga apate pancha ndiyo mtakuja gundua Mkude ana umuhimu. Tena pancha haswa na hivi anavyocheza mechi nyingi mtajua hamjui
 
Nb namshukur sana kocha wa simba bila shaka aliufatilia huu uzi ambao mimi niliuanzisha kongole dider gomez kongole mnyamaa
 
Hivi watanzania tuna matatizo gani? Kwaninu hatuwazi nje ya box!! Sina uhakika kama mleta mada hii ni mshabiki wa simba kwakweli, simba tulilia sana kuongezewa kiungo mkabaji mwingine, tulikuwa na shida eneo hilo na tukapiga kelele mno. Tukaletewa GERSON FRAGA , bahati mbaya akapata majeraha , viongozi wakaona hapana tuendako tutapata tabu kumtegemea kiungo mmoja, akaletwa Tadeo lwanga!! Sasa huu upuuzi wa kuanza kumshusha au kutengeneza zengwe au kulinganisha kati ya mkude na lwanga unatoka wapi? Emu tuache ujinga , kama kweli wewe ni shabiki wa simba huezi shabikia huu upumbavu. Hawa ni wachezaji wetu , tunapaswa kuwaunga mkono na kufurahia vipaji vyao , lengo letu simba ni moja, kuchukua vikombe na kufika mbali katika champions league!! Ukiombea mmoja aumie unakuwa huitakii mema club, tuna mashindano mengi sana, tuwaombee uzima na tuwaunge mkono kwa wanavyojitolea kwa timy yetu, mkude hajacheza kwa muda kutokana na adhabu aliyopata, Mungu ni mwema amerejea hivyo kocha atakuwa na uwanja mpana wa kuchagua holding kati ya lwanga na mkude, hata kama mmoja akipata kadi nyekundu au figisu ziktokea presha inakuwa ndogo. Uzuri saivi kuna nyoni nae anacheza namba hiyo , kwahiyo ni jambo jema sana
 
Una harufu ya utopolo, lengo lako ni kuchonganisha na kuleta taharuki, lakini umeshindwa!! Uto huwezi kutupangia timu!! Wachezaji wote ni wa Simba na yeyote anaweza kupangwa na kocha!!
 
Aliyeanzisha uzi ni utopolo damu damu. Ndio maana alijishtukia mwanzo tu na kudai yeye ni Simba wakati ni uto wa kutupwa!! Lengo lake ni kupandikiza machafuko!! . Mbinu hiyo ya kishamba umeshindwa vibaya!
 
Pengo lipi labda unalozungumzia? Lwanga amechezay mechi 5 halaf clean sheets 4. Unataka nini labda
 
Nenda kawashauri utopolo wenzio achana simba!! Simba hatuna uchonganishi kwa wachezaji!! Una fiston , una sarpong, una farid, una nchimbi , emu katoe maoni waanze kufunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…