Nje ya mali, wana Simba inatakiwa mnunue hizo hisa za 50%.Mali za Simba ndiyo hyo 51% na taarifa ni kwamba Simba imebusti sana biashara za Mo kutokana na matangazo kupitia Simba Sc
Kwenye hiyo hisa ya 51% ya wanachama we umeweka sh ngapi hadi umlalamikie Mo?yaani kapuku ambaye anatembea pum..bu zake kutoka tabata hadi ubungo naye anahoji bil 20 za mo.Shida ya utopolo mnataka Simba tuanze kutembeza Bakuli kama nyie sema Tumeshtukaa mzee ndo maana Kigwangala jinga mwenzio kaambiwa afunge Domoo...[emoji16][emoji16]
Mnaoumia ni nye utopolo wahusika wenyewe hawana wasiwasi na timu yaoKama anaweza kujenga uwanja na kutumia "eti" billion 3 kuendesha timu kwa mwaka, ugumu wa kufuata mkataba unatoka wapi?
Kuna kitu kipo gizani.
Mbumbumbu wanajua nini hadi wa react?Mnaoumia ni nye utopolo wahusika wenyewe hawana wasiwasi na timu yao
Mnatamani ila haitotokea na hawezi fanya lolote ishapita hilo kama mlikuwa mnategemea hapoMbumbumbu wanajua nini hadi wa react?
For your information, Hamisi hayuko peke yake kwenye hilo.
Mbona wau povu linawatoka? Mo ameuliza, hivi kuna mtu mwenye akili anayedhani nakosa sh. bilioni ishirini?Mbumbumbu wanajua nini hadi wa react?
For your information, Hamisi hayuko peke yake kwenye hilo.
Ko ulitaka aweke hela asipate faida, kwani Simba saizi haifaidiki na uwepo wa MO.Kama hujui jambo lilivyo usilete pumba zako.Kigwangala ana hoja za msingi lakini km ubongo wako ni low kiasi hiki hukua na haja ya kuandika chochote, ungeshona bakuli lako.
Kwanza Mo ni mfanyabiashara,bepari,hakuna bepari anaewekeza mtaji wake bila matarajio ya faida tena faida kubwa.Mo hayuko Simba kwa hisani na wala Simba SC hatuhitaji fadhila kuendesha timu.
Tatu,km anaweza kutoa bilioni 3 kila mwaka anashindwa nini kutoa b20 anazodaiwa za hisa zake.Hizi bilion 3 anakuja kujilipaje au ndio janjajanja ya kutaka kusema badae nmetumia hela zangu nyingi so Simba SC hainidai.
Tatu,inawwzekan baadae Mo Aka sema niliikopesha Simba ,pale ambapo atatumia hela zake zikafikia kwa mfano zaidi ya bilioni 20 .Kwasababu mpaka sasa hivi haieleweki Mo anatoa hela za mishahara na gharama nyingine za kuendesha klabu kwa nakubaliana au mkataba gani.
Mo aweke hela zetu mezani ndio mambo mengine yaendelee kama kweli ni mwekezaji siriaz.
Sasa Simba ikiwa ni Mali ya MO kuna shida gani? Kwani Man city haikua Mali ya wanachama mbona saizi ni Mali ya watu na mashabiki wake wapo vile vile.Na
Uko tayari siku ikifika akisema Simba SC ni mali yangu ,nawadai coz nilitumia hela zangu kuendesha klabu.
Tz hatuendelei hatusongi mbele kwa sababu ya akili hizi za BORA LIENDE.
Watz wengi si watu wa kufuata misingi,taratibu ,sheria.
Lazima Simba isonge mbele kwa misingi ya kisheria tuliyokubaliana.
Kwa nilivyosoma kwa aliyekuwa mkurugenzi wa wanachama simba, siyo kuwa mo ndio hataki kuweka izo 20B bali kuna mambo hayajakamilika kuweka iyo ivyo simba ikikamilisha mambo yataenda sawa.Ila mashabiki wa simba kuna siku inakuja mtajua kwamba hamjui.
Mshafikiria itakuaje siku Mo akiamua kuondoka Kwa hiyari yake au kwa lazima atawaacha vip hapo msimbazi?
Faida ambayo kama klabu mtakua nayo baada ya Mo kuweka hzo billion 20 ni assurance ya klabu kujiendesha yenyew ata bila Mo.
Sas hvi mnafurahia hzo billion 3 na kulipa mishahara ya wachezaji ila mjue huo n msaada tu na msaada wakati wowote unaweza kusitishwa.
Yaliyotukuta yanga kwa Manji ingekua funzo kubwa sana kwenu na mngedai kwa nguvu moja uwekezaji ukamilike haraka iwezekanavyo ili klabu ijiendeshe rasmi, hii misaada mnayofurahia sas hvi ipo siku itawarudisha mlipotoka, Mo aache ubabaishaje mim nimemshangaa jinsi anakua msumbufu kukamilisha uwekezaje wake kwa maslahi mapana ya klabu yenu.
Kwa nilivyosoma kwa aliyekuwa mkurugenzi wa wanachama simba, siyo kuwa mo ndio hataki kuweka izo 20B bali kuna mambo hayajakamilika kuweka iyo ivyo simba ikikamilisha mambo yataenda sawa.
20B mnaumizana sana. Subirini za Wananchi. Asilimia 20 tu, zinamaliza mgogoro wa Simba na chenji inabakiMnatamani ila haitotokea na hawezi fanya lolote ishapita hilo kama mlikuwa mnategemea hapo
Kiongozi tulia tuliii!Wanazo hata asilimi 1 sasaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukweli Mchungu.Toka jana kumekuwa na Mjadala mzito sana kuhusiana na Bil. 20 ambazo MO alitakiwa awe amezitoa tokana na kuchukua 49% ya hisa za Simba lakini hili Jambo SIASA imetawalaa kuliko uhalisiaa na ndo hapo nasema "Maskini Akipata Matacco mbwata" sasa wana simba wamejisahau sana na kuona mambo ni mteremko tu kuwa Club inaenda wachezaji wanalipwa...wanakula vizuri jambo inalopeleka Kufanya vizuri sana ubaya wengi wanadhani Pesa inayotokana na mapato ya Club inaweza kufanya Hayaa.
Nasema kwa mpira wa Bongo pesa inayopatikana Haiweza hata Kulisha wachezaji wa Simba hata kulipa Robo ya mishahara yao YANGA wanatembeza Bakuli sio wanapenda lakini kuondoka kwa Manji kumekuwa pigo kubwa sana na ndo kitakachotokea Simba. Kuteuliwa CEO mpya kumeibua mambo kibao wengine wakidai mchakato haukuwa sahihi ndo nauliza Senzo mchakato wake ulikuwaje????
Mwisho wa siku Siasa muachieni Kigwangala na tambo zake za kutaka maelezo akati hata hela ya Pikipiki 25 hana anataka kumkopa MO shame shame. MO anafanya analoweza ili club ya Simba iendee na pia yeye ni mfanya biashara kudhani atatoa Bil 20 aweke kwenye Acc ya timu akitegemea itarudi kwa Uchumi wa soka la bongo nasema haitarudi hata Robo ya hela na hakuna mwendawazimu anaweza.
fanya huo utumbo.
unapata faida gani hii week yote umeanzisha thread Kama 100 unahangaika na mudi tu,lUkweli Mchungu.
Simba haiwezi kujiendesha , na ndo silaha ya Muhindi ilipo
unapata faida gani hii week yote umeanzisha thread Kama 100 unahangaika na mudi tu,l
Ukweli Mchungu.
Simba haiwezi kujiendesha , na ndo silaha ya Muhindi ilipo