Simba msiue kipaji cha mchezaji

Simba msiue kipaji cha mchezaji

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Huyu kocha wa Simba mimi sijawahi kumuelewa. Binafsi huwa sipendi watu wenye maneno mengi kuliko vitendo. Huyu Babu anaonekana kuwa na chuki wa wachezaji na kuwabagua.

Ndio maana ujio wake pale Simba umeua viwango vya wachezaji. Bocco ametoka kuwa goli zaidi ya 10 na kudorora, Sakho hakuwahi kuomarika chini ya Babu, Banda anazidi kuwa Nyakanyaka, kwa Phiri hapa sasa ndio basi tena, utadhani alimuibia mke, anatamani hata amfukuze kambini.

Viongozi Simba kama Mchezaji hatakiwi basi bora kumuacha aondoke zake.
 
Acheni kuwapangia Makocha kazi, acha afanye kazi yake akishindwa ndio asemwe.

Kuna mtindo wa kuingilia professional za watu Tanzania, kila mtu kocha, mchambuzi, producer na hata director, kukosoa bila taaluma husika ni kuharibu mambo.
 
Huyu kocha wa Simba mimi sijawahi kumuelewa. Binafsi huwa sipendi watu wenye maneno mengi kuliko vitendo. Huyu Babu anaonekana kuwa na chuki wa wachezaji na kuwabagua.

Ndio maana ujio wake pale Simba umeua viwango vya wachezaji. Bocco ametoka kuwa goli zaidi ya 10 na kudorora, Sakho hakuwahi kuomarika chini ya Babu, Banda anazidi kuwa Nyakanyaka, kwa Phiri hapa sasa ndio basi tena, utadhani alimuibia mke, anatamani hata amfukuze kambini.

Viongozi Simba kama Mchezaji hatakiwi basi bora kumuacha aondoke zake.
Robertinho alijiunga na Simba tarehe 23/01/2023, yaani miezi saba iliyopita huku msimu wa ligi ukiwa umeshachezwa karibu mzunguko wa kwanza. Je, ni yeye aliyeua vipaji vya hao ndani ya muda mfupi huo? Mambo mengine yanahitaji mtumie akili, kama zipo lakini
 
Back
Top Bottom