Simba mtoeni Matola

Yaani hata ligi yenyewe tu haijaanza, tayari kimeumana! 😁😁😁
 
Wewe ndio punguwani, kwani Hans alivyokuwepo yanga walikuwa hawatufungi
Huyu ndiye hirizi ya timu pamoja na Bocco.

Tokea Hans aondoke hatutafanikiwa kamwe labda Makonda arudi kwenye system awafanyizie tena Utopolo kama awamu ya 5 alivyofanya.
 
Yaani hata ligi yenyewe tu haijaanza, tayari kimeumana! 😁😁😁
Simba kuko shwari tatizo mashabiki wapuuzi tu, angekuwepo yule mzungu wa yanga angewaita mashabiki wa simba manyani na mbwa kubwekabweka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…