Hamna namna,Hiyo SASA ni dharau, sidhani kma hii habari ni ya ukweli, Kama kweli ni hivyo WASIJE , kuliko kucheza na kikosi chao cha pili Bora tucheze na prisons kudadadek, hatutaki dharau....
Ndio mama yako amekuambia hivyo baada ya kutoka chumbani kwa kapumbu.Mkuu walaumu To Mazembe waliokataa kuleta timu yao siku yenu, kubalini kucheza na kikosi Chao Cha pili, Ile Mazembe yenyewe hawana muda wa kupoteza
Simba pia tunakikosi"B"kikosi "A"kitapumzishwa kuwasubiri kwenye ngao ya jamii tuwakung'ute misukule f.cSasa si ndiyo wamesema watawaletea kikosi Cha B ndiyo size yenu. Timu yao ya A haina muda huo wa kupoteza
mnahangaika na Simba day wakati Mechi yenu na River United ndo ipo karibu ,mkija kupigwa mnakuja kusingizia tunaendelea kujenga timuWewe subiri kuletewa waimba kwaya
Mazembe"B"uwezo wao ni sawa na Zanaco ya Kapumbu aliewaharibia siku yenu.Kinachoongelewa ni kuwa mnacheza na mazembe B..
Ambapo ni bora hata kagera sugar
Limebaki jina na pia wanaleta kikosi B.Mazembe limebaki jina tu
Ukifungwa na Rivers utd,alafu na Simba nae akikupiga ngao ya jamii,sisogee mitaa ya Jangwani kutakua na vurugu kubwa sana.Alisikika Mbumbumbu mmoja akinena
Tarehe 19. Yanga itakuwa inakamilisha ratiba kule NigeriaNjooni nyie ndala Tuwasugue Mpaka tuwatoe Kizazi
Tulia ni mpishi wa pilau buza,,,Tulia...
Hebu ongea vitu vilivyo na maana, huelezi hoja ukaeleweka, unarusha matusi tu kama wale mbumbumbu wa Rage.Aliewaitaga nyani akukosea!! Minyani mwitu, mijitu mwitu,inabweka kama mbwa..yule mzungu aliona mbali sana..mijitu ya utopolo chura FC Ina shida sana,sijawahi kumuona mtu yuko utopolo akawa na akili timamu
Hizi ni katuni za matusi ambazo zinapaswa ziishie uchochoroni huko, nadhani mods wataona hili ili wachukuwe hatua sahihi.Kapumbu mutu mubadi munoView attachment 1928056