SIMBA na Azam

Mayolela

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2009
Posts
384
Reaction score
7
Kesho wadau njooni muangalie soka la uhakika kati ya timu hizi mbili mahiri kwa sasa.
hope simba wataendeleza kidedea.

shabiki wa kweli.
 
pambano litafanyika uwanja wa uhuru aka sahamba la bibi. saa 10 jioni.
 
Kesho wadau njooni muangalie soka la uhakika kati ya timu hizi mbili mahiri kwa sasa.
hope simba wataendeleza kidedea.

shabiki wa kweli.

Kitimtim patachimbika Azam wanakuja kwa kazi ila spidi ya scud sijui kama wataiweza airforce1
 
Kitimtim patachimbika Azam wanakuja kwa kazi ila spidi ya scud sijui kama wataiweza airforce1


Hayo ni majigambo tu ya wabongo tulio zoea kcheza mech kwenye nyungo za mabibi/mababu zetu, ila wanaojua mpira hufanyamazoezi ya ukweli na mpira wa kufurahisha, kuburudisha unaonekana,
 
Ligi gani tena? Mzunguko wa kwanza wa Vodacom PL umeisha? Mbona Simba vs Mtibwa bado? Au mechi ya maveterani wa Simba na Azam?
 
Hayo ni majigambo tu ya wabongo tulio zoea kcheza mech kwenye nyungo za mabibi/mababu zetu, ila wanaojua mpira hufanyamazoezi ya ukweli na mpira wa kufurahisha, kuburudisha unaonekana,


Usiwe na imani potofu mkuu! Hili halina uchawi!!! We neda kaangalie mechi jinsi gozi linvyorindima kwenye ground
 
Ligi gani tena? Mzunguko wa kwanza wa Vodacom PL umeisha? Mbona Simba vs Mtibwa bado? Au mechi ya maveterani wa Simba na Azam?

Ndo tabu ya kudandia gari kwa mbeleπŸ˜•πŸ™„
 
Ndo tabu ya kudandia gari kwa mbeleπŸ˜•πŸ™„
Ni vibaya kuuliza? Kwa kuwa sijaelewa, je, ni busara niendelee kukaa kimya eti kwa kuogopa kudandia gari? Ni nani mwenye gari basi humu JF ili tuwe tunaweka oda ya lift mapema? Mambo mangapi tulikuwa hatuyajui kabla ya kujiunga humu?
 
Kesho wadau njooni muangalie soka la uhakika kati ya timu hizi mbili mahiri kwa sasa.
hope simba wataendeleza kidedea.

shabiki wa kweli.

Simba ilishacheza na Azam raundi ya kwanza na Simba walishinda 1-0. Raundi hii Simba bado na Mtibwa tu! labda kama ni kombe la mbuzi au maveterani. Hata hivyo, wachezaji mbona wengi bado wapo Misri? Nahisi wewe umejichanganya!
BTY, kwa mpira ule wa stars Misri jana, naona mnajifariki tu kuwa "soka la uhakika", vipofu wanapokutana!
 
Kesho wadau njooni muangalie soka la uhakika kati ya timu hizi mbili mahiri kwa sasa.
hope simba wataendeleza kidedea.

shabiki wa kweli.

Hizi siasa zimetuathiri sana! Mie akili yangu ilikwenda moja-moja kwingine: yaani Sophia Simba na Azan Zungu kwamba mgogoro wao umezuka tena!

Problem true true!
 
Ligi gani tena? Mzunguko wa kwanza wa Vodacom PL umeisha? Mbona Simba vs Mtibwa bado? Au mechi ya maveterani wa Simba na Azam?
Ni mechi ya kirafiki bwana- itachezwa kesho na sio leo kama hapo awali.
kwaio njooni kesho muone kandanda safiii- baridiii???
 
hizi siasa zimetuathiri sana! Mie akili yangu ilikwenda moja-moja kwingine: Yaani sophia simba na azan zungu kwamba mgogoro wao umezuka tena!

Problem true true!
pole wee,siasa ni michezo.
 
matokeo ni 1-1 lakini mpira kiwango plus plus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…