Ukweli utabaki palepale, either wanamuhitaji or not, hakuna tatizo, as what we know Tegete as professional player akiamua kuhama ni kawaida tu. We unaonaje? wanachoangalia wachezaji ni maslah mazuri na utulivu wa nafsi yake, labda anawahofia akina KIIZA, ASAMOAH, MWAPE Acha aje msimbazi