GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Genta, Lakini Simba alimfunga Coastal Union 3-0 kwenye ligi kuu, Arusha. Hapo vipi?!Najua nitachukiwa na kubishiwa, ila Kidarubini bado uwezo wa Simba SC ni mdogo kuulinganisha na Yanga SC iliyotimia.
Nawapongeza tu Uongozi wa Simba SC kwa juzi ile tarehe 8 Kuichungulia Mechi na Yanga SC kwani ilikuwa ni balaa lingine.Genta, Lakini Simba alimfunga Coastal Union 3-0 kwenye ligi kuu, Arusha. Hapo vipi?!
Umeongea ukweli. Ile mechi ingechezwa siku ile, kuna mafuriko yangetokea.Najua nitachukiwa na kubishiwa, ila Kidarubini bado uwezo wa Simba SC ni mdogo kuulinganisha na Yanga SC iliyotimia.
Ila upoje?Mpira haupo hivyo
Huu Uzi wangu nimeuanzisha Makusudi ili kuwajua Wanafiki. Wewe siku zote hapa JamiiForums nikianzisha tu Mada yoyote ile (hata ya Kiutani) kuihusu / kuwahusu Yanga SC wako (yako) huwa haraka sana unakuja Kunitukana na hata Kunikashifu. Nawasubiria pia Wanafiki wenzako wengine kutoka Yanga SC na najua leo mtaufurahia kweli kweli huu Uzi wakati kumbe Kiuhalisia Mimi nawajaza tu ili niwajue na niwasanifu.Umeongea ukweli. Ile mechi ingechezwa siku ile, kuna mafuriko yangetokea.
Mpira huwa unachezwa kutokana na gemu-plan ya mechi husika kulingana na ratiba ya siku husikaIla upoje?
Huu mwaka tangu umeanza nimekuwa muungwana sana kwako, na hasa nikichukulia mimi ni kaka yako wa hiyari! Ila mpaka muda huu nimegundua dogo hubebeki. Sasa subiri nikachukue silaha zangu za maangamizi.Huu Uzi wangu nimeuanzisha Makusudi ili kuwajua Wanafiki. Wewe siku zote hapa JamiiForums nikianzisha tu Mada yoyote ile (hata ya Kiutani) kuihusu / kuwahusu Yanga SC wako (yako) huwa haraka sana unakuja Kunitukana na hata Kunikashifu. Nawasubiria pia Wanafiki wenzako wengine kutoka Yanga SC na najua leo mtaufurahia kweli kweli huu Uzi wakati kumbe Kiuhalisia Mimi nawajaza tu ili niwajue na niwasanifu.
Hivi unauliza swali ambalo mwanangu mwenye miaka 5 anajibu huku anasinziaIla upoje?
Daaah mkuu umepiga chabo peppar yangu nnMpira huwa unachezwa kutokana na gemu-plan ya mechi husika kulingana na ratiba ya siku husika
Mpira huwa hauchezwi kwa kulinganisha na mechi zilizopita au kulinganisha na mechi ya timu nyingine.
Kwa sababu za kichawi zaidi na sio sababu za kimpira, mmeshindwa kuifunga timu kama Tabora au JKT goli nyingi,mnawezaje kujitapa kuifunga goli nyingi timu ya pili kwenye msimamo wa Ligi?Umeongea ukweli. Ile mechi ingechezwa siku ile, kuna mafuriko yangetokea.
DuhHuu Uzi wangu nimeuanzisha Makusudi ili kuwajua Wanafiki. Wewe siku zote hapa JamiiForums nikianzisha tu Mada yoyote ile (hata ya Kiutani) kuihusu / kuwahusu Yanga SC wako (yako) huwa haraka sana unakuja Kunitukana na hata Kunikashifu. Nawasubiria pia Wanafiki wenzako wengine kutoka Yanga SC na najua leo mtaufurahia kweli kweli huu Uzi wakati kumbe Kiuhalisia Mimi nawajaza tu ili niwajue na niwasanifu.
Mama yako Mzazi kameza zake? Pumbavu.We hujameza Dawa Zako!
Umesahau wale wa 3-1 Jezi pale mbele kuna Neno Limeandikwa Jiesiem.
Unasema?Mama yako Mzazi kameza zake? Pumbavu.
Pumbavu.Unasema?
Mama yako mzazi kameza zake?
Pumba.....mi nimetoa baadhi ya herufi.