CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Ukisikia aibu ni hizi kumbe kutwa nzima tunaiponda GSM na Manara anatucheka tu kimyakimya , wanasimba kwa pamoja tuwaombe radhi Gsm kwa mujibu wa clip ya manara instagram ni kwamba GSM ndiyo wanaotengeza jezi za simba hiyo ni baada ya kuonekana kilichoitwa jezi feki za simba
Ukiamini kwamba ni feki basi wewe ni mjinga maana siyo vunja bei wala klabu simba waliothubutu kusema lolote hadi sasa
MANARA OYEEE GSM OYEEE WABURUZENI MAFALA HAO KUMBE KELELE ZOTE ZILE NYIE NDO MNALTULETEA JEZI MJINI??
Inaelezwa watu kadha wamekamatwa kwa kukutwa na wako polisi kwa kosa la kuuza jezi Feki za Simba zenye nembo za Yanga na GSM. Ambayo sio washirika wa utengenezaji wa jezi hizo.
Lakini juzi kati Manara alipost video na kusema hata jezi za Simba zimetengenezwa na GSM ambazo ndio hizo jezi Feki sasa Manara anatakiwa kuthibitisha kauli yake ya hizo jezi zimetengenezwa na GSM ikiwa klabu ya Simba inawatafta waliotengeneza hizo jezi na kuziuza bila kibali kutoka Simba.
Kwa sasa Manara yupo nje ya nchi lakini pia hadi sasa GSM wala Yanga hakuna aliye toka na kukanusha kauli ya Manara.
Ukiamini kwamba ni feki basi wewe ni mjinga maana siyo vunja bei wala klabu simba waliothubutu kusema lolote hadi sasa
MANARA OYEEE GSM OYEEE WABURUZENI MAFALA HAO KUMBE KELELE ZOTE ZILE NYIE NDO MNALTULETEA JEZI MJINI??
Inaelezwa watu kadha wamekamatwa kwa kukutwa na wako polisi kwa kosa la kuuza jezi Feki za Simba zenye nembo za Yanga na GSM. Ambayo sio washirika wa utengenezaji wa jezi hizo.
Lakini juzi kati Manara alipost video na kusema hata jezi za Simba zimetengenezwa na GSM ambazo ndio hizo jezi Feki sasa Manara anatakiwa kuthibitisha kauli yake ya hizo jezi zimetengenezwa na GSM ikiwa klabu ya Simba inawatafta waliotengeneza hizo jezi na kuziuza bila kibali kutoka Simba.
Kwa sasa Manara yupo nje ya nchi lakini pia hadi sasa GSM wala Yanga hakuna aliye toka na kukanusha kauli ya Manara.