Simba na wachambuzi wao hovyo sana

Simba na wachambuzi wao hovyo sana

Upepo wa Mayele umekata kivipi mkuu?
Balama ni majeruhi,unafahamu hilo
Mayele mnamkuza tu ila hamna kitu pale, jamaa ni mtupu na mbahatishaji

Halafu na nyie tabia ya kuwapa sifa za kindezi wachezaji wanaoifunga simba sijui mtaacha lini, balama mapinduzi yuko wapi saizi?

Haya upepo wa mayele umeshakata mna jiandaaje na mechi ya marudiano, mtakua na mchezaji gani wakututambia?
 
Upepo wa Mayele umekata kivipi mkuu?
Balama ni majeruhi,unafahamu hilo
Upepo wa mayele umekata now hatusikii tambo kama ambavyo mlivyokua mnampaisha

Huyo balama najua kua ni majeruhi, nimeuliza yuko wapi kwa lengo la kuwakumbusha kile kipindi ambacho aliifunga simba na mkawa mnamvimbisha
 
Yanga huwa mnaongea sana ya kuwa simba msim huu ni mbovu kwa kuwa mnacheza na mbeya kwanza mnawafunga magor mnaamin kuwa hata simba mtaipiga kizembe matokeo yake mnapelekwa ad referee anaua move za simba for no reason
Huyo mayele ni mzur kwa kwa kuwa huwa hakutani na mabek wenye akil,Inonga ni fundi mayele kutoboa pale afanye kaz..
 
Simba hatushangilii Bali tunawacheka na kuwabeza.

Yanga mliingia na matokeo mfukoni na mkawa mmejaza ujinga kichwani kuwa Simba ni dhaifu mnaenda kushinda kilaini tena goli nyingi.

Mkajikuta mnaomba mechi iishe na dakika chache zilipoongezwa mlifurahi. Diarra alifikia hata kupoteza muda.

Yanga pumzi yenu Ni dakika 30 tu. Ndiyo maana kipindi cha pili mliingia kuzuia msifungwe, mliiheshimu Simba.NABI mwenyewe kakiri hilo.

Kabla ya mechi kila shabiki wa Yanga niliyekutana naye utasikia subiri tarehe 11.Mlijilisha upepo na kujazana ujinga mwingi.

Sisi tunawacheka, tunawatazama jinsi kwasasa msivyo na cha kuongea.

NB:Mayele ni straika wa msimu huu tu msimu ujao yule Ni garasa. Na hatawapa kile mlichotarajia.
Yanga wamesajili wazee wa msimu mmoja simba tumesajili vijana wa miaka mitano mbele kuna mwaka hapo mbele yanga atakuja kufa tano tena.....
 
Simba waliingia uwanjani wakijua watafungwa, kwanini nasema hivi.
1. Wanasema sana na kushangilia kana kwamba wameshinda mechi.

2. Inonga kutamba kumdhiti Mayele,ni dalili ya wazi walikuwa wanamuhofia sana(mayele anatisha)

Kama simba wangekuwa bora kuliko yanga wangeshinda mchezo.

Wote ni bora,sasa simba wamekuwa na maneno mengiiii kana kwamba wameshinda mechi,hii inaonesha waliingia kwa hofu ya kupoteza mchezo

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
watu wa kigoma likianzishwa kombe la dunia la ubishi mtalibeba asubuhi kabsa Hilo kombe
 
Back
Top Bottom