nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Simba waliingia uwanjani wakijua watafungwa, kwanini nasema hivi.
1. Wanasema sana na kushangilia kana kwamba wameshinda mechi.
2. Inonga kutamba kumdhiti Mayele,ni dalili ya wazi walikuwa wanamuhofia sana(mayele anatisha)
Kama simba wangekuwa bora kuliko yanga wangeshinda mchezo.
Wote ni bora,sasa simba wamekuwa na maneno mengiiii kana kwamba wameshinda mechi,hii inaonesha waliingia kwa hofu ya kupoteza mchezo
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
1. Wanasema sana na kushangilia kana kwamba wameshinda mechi.
2. Inonga kutamba kumdhiti Mayele,ni dalili ya wazi walikuwa wanamuhofia sana(mayele anatisha)
Kama simba wangekuwa bora kuliko yanga wangeshinda mchezo.
Wote ni bora,sasa simba wamekuwa na maneno mengiiii kana kwamba wameshinda mechi,hii inaonesha waliingia kwa hofu ya kupoteza mchezo
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app