uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 836
- 2,658
Mimi sio shabiki wa hizi timu ila nikiziangalia kiundani ni kama zimekaa kisiasa sana. Na huwa najiuliza hizi timu mbili ni kama zinatumia pesa nyingi sana kuliko pesa wanayo ingiza nikijaribu kuwauliza wadau wanasema chanzo cha Mapato ya jezi na matangazo.
Lakini naona bado hela wanazozitumia ni nyingi kuliko Mapato.
Lakini naona bado hela wanazozitumia ni nyingi kuliko Mapato.