Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Haya serikali imetangaza kufunga viwanja vya Benjamin Mkapa na Uhuru mpaka Oktoba 2024 ili kuvikarabati
Simba na Yanga wanatamba kila upande kuwa ni timu kubwa Afrika mpaka Duniani lakini cha kushangaza hazina viwanja angalau vya mashabiki elfu kumi na tano
Simba na Yanga ni aibu kutegemea viwanja vya serikali na timu ya Azam huku mkitamba nyinyi ni wakubwa Afrika na mnamashabiki wengi ndani na nje ya nchi hii ni aibu aisee
Msitusumbue na kelele na timu kubwa na huku hakuna hata viwanja
Shame on youuu , https://jamii.app/JFUserGuide you
Simba na Yanga wanatamba kila upande kuwa ni timu kubwa Afrika mpaka Duniani lakini cha kushangaza hazina viwanja angalau vya mashabiki elfu kumi na tano
Simba na Yanga ni aibu kutegemea viwanja vya serikali na timu ya Azam huku mkitamba nyinyi ni wakubwa Afrika na mnamashabiki wengi ndani na nje ya nchi hii ni aibu aisee
Msitusumbue na kelele na timu kubwa na huku hakuna hata viwanja
Shame on youuu , https://jamii.app/JFUserGuide you