Taifa lenyewe Lina kiwanja 1.tena kwa msaada.uwanjani ameendi,jezi hamnunui,ada za ya achana ziro.hizo fedha zinatoka wapi?za MO au GSM?.hivi mmewahi kufuatilia gharama za uendeshaji?mapato ya klabu,gharama za ujenzi wa uwanja angalau wa watu 20,000 waliokaa.
Watu wa dar wenye mdomo Sana ndio wanaongoza kutoingia mechi zao.labda iwe Simba vs Yanga,au hizo dhidi Azam.
Shirikini kwenye kuchangia mapato.
Yanga ikifikisha wanachama1,000,000 Kuna haku ya kudai uwanja na kuwajibisha viongozi wakifeli.
Tambueni UCHUMI wa klabu zenu .sio UCHUMI wa MO au GSM