Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Draw ya group stage CAF Champions league na Confederation cup ni tar 7 October.
Kila la kheri Simba na Yanga
Acha uoga, mfungwa hachagui gereza na ukisema timu Yako kubwa lazima ukutane na wakubwa wenza Ili uoneshe ukubwa wako.Bora watupange na Al Ahly mapema. Yule bwana sio mzuri kukutana nae kwenye mtoano.
Usipende kuongelea ushabiki. Pep Guadiola na Man City yake inavyopangwa droo ya mtoano anakuambia sio vyema kukutana na Madrid au Bayern katika hatua hizi.Acha uoga, mfungwa hachagui gereza na ukisema timu Yako kubwa lazima ukutane na wakubwa wenza Ili uoneshe ukubwa wako.
Ata angekuwa pot D mwisho wa safari umefika .Kumbuka mnyama atakuwa pot A kwenye confederation.
Mpira hauhitaji BLA BLA,Ata angekuwa pot D mwisho wa safari umefika .
LainiKundi La Yanga
TP Mazembe
Yanga
Orlando Pirates
Sagrada
AiseeUTO vs IFM
sema CAF na TFF ni mtu na binamu yake kupanga makundi ndo mpk tar 7!!!Draw ya group stage CAF Champions league na Confederation cup ni tar 7 October.
Kila la kheri Simba na Yanga
View attachment 3103518
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?utm_source=ig_embed&ig_rid=efe7b6f8-a056-4a0f-b130-f9cf100859e6&ig_mid=FB4546D4-2091-437A-A6A7-7AFA15166059
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?utm_source=ig_embed&ig_rid=230db4cb-9179-4215-bb92-8a0a9562a851&ig_mid=F0B8BE28-17CA-4D1F-A7E1-394DC856BCD1
Unajua mpira, watanzania wengi huwa ni wajinga ama ukipenda waite mashabiki maandaziUsipende kuongelea ushabiki. Pep Guadiola na Man City yake inavyopangwa droo ya mtoano anakuambia sio vyema kukutana na Madrid au Bayern katika hatua hizi.
Kuwa bingwa haimaanishi utawafunga wakubwa tu. Sometimes zinapenya kutokana kutokana na aina ya Wapinzani wanaokutana nao. Au unahisi msimu uliopita Yanga angepewa Petro De Luanda badala ya Mamelodi nini kingetokea?
Hao kina Aziz Ki na Chama wasikupe kiburi ukajiona yoyote yule unaweza kumtoa. Kumbuka hatutafuti kufa kiume, tunatafuta tufike mbali zaidi ya mwaka jana.
A Ahly is not a joke.