Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
[emoji375]Uhasimu wa El Classico
Kwenye fainali ya Liverpool na Madrid msimu uliopita inasemekana baadhi ya mashabiki wa Barcelona walinunua jezi za Liverpool na kwenda kuishabikia Liverpool.
::
[emoji375]Uhasimu wa Liver na Man United
Kwenye mechi ya Barcelona na Liverpool katika jukwaa la Barcelona alionekana shabiki mmoja akiwa amevaa jezi ya Man United akiwashangilia Barca.
::
[emoji375]Waingereza wenyewe kwa wenyewe
.
Juzi Rio Ferdinand ameonakana akiwa na Gary Linekar wakishangilia bao la Messi tena kwenye moja ya vituo vikubwa vya Runinga nchini Uingereza cha BT Sports. Shabiki mmoja wa Liverpool akamwabia Linekar katika ukurasa wa twitter kuwa amejishusha heshima na sio mzalendo, Linekar akamjibu na kumwambia najua inauma, pole sana (kibongobongo ni kama alimwambia tulia dawa iingine.) kumbuka Linekar aliwahi kuichezea Barca.
::
[emoji375]PSG na Maadui zake
.
Katika mchezo wa PSG na United Evra na Eric Cantona walishangilia sana bao la Rashford bila kujali kama wao ni wafaransa. Hapo hapo kuna mashabiki wa Lyon walikuwa wamebeba bendera ya United wakiwa wamevaa jezi za Lyon.
::
[emoji375]Uhasimu wa Everton na Liverpool
.
Mwisho ambayo ndio funga kazi ni kilichotokea hivi leo, katika moja ya maduka ya mahasimu wakubwa wa Liverpool ambayo ni klabu ya Everton. Katika maduka hayo yameonakana yakiizua skafu za Lionel Messi. Yaan wameanza maandalizi ya kuwapokea Barca kwa mikono miwili.
::
Hili pia limenikumbusha kauli ya David Beckham alipowaomba Madrid iwafunge Liverpool.
::
Uswahili haujaanza hapa, upo kote duniani, kila mmoja apambanie mafanikio yake usitegemee sapoti kutoka kwa adui yako
KUTOKA KWA SHAFFIH DAUDA
Kwenye fainali ya Liverpool na Madrid msimu uliopita inasemekana baadhi ya mashabiki wa Barcelona walinunua jezi za Liverpool na kwenda kuishabikia Liverpool.
::
[emoji375]Uhasimu wa Liver na Man United
Kwenye mechi ya Barcelona na Liverpool katika jukwaa la Barcelona alionekana shabiki mmoja akiwa amevaa jezi ya Man United akiwashangilia Barca.
::
[emoji375]Waingereza wenyewe kwa wenyewe
.
Juzi Rio Ferdinand ameonakana akiwa na Gary Linekar wakishangilia bao la Messi tena kwenye moja ya vituo vikubwa vya Runinga nchini Uingereza cha BT Sports. Shabiki mmoja wa Liverpool akamwabia Linekar katika ukurasa wa twitter kuwa amejishusha heshima na sio mzalendo, Linekar akamjibu na kumwambia najua inauma, pole sana (kibongobongo ni kama alimwambia tulia dawa iingine.) kumbuka Linekar aliwahi kuichezea Barca.
::
[emoji375]PSG na Maadui zake
.
Katika mchezo wa PSG na United Evra na Eric Cantona walishangilia sana bao la Rashford bila kujali kama wao ni wafaransa. Hapo hapo kuna mashabiki wa Lyon walikuwa wamebeba bendera ya United wakiwa wamevaa jezi za Lyon.
::
[emoji375]Uhasimu wa Everton na Liverpool
.
Mwisho ambayo ndio funga kazi ni kilichotokea hivi leo, katika moja ya maduka ya mahasimu wakubwa wa Liverpool ambayo ni klabu ya Everton. Katika maduka hayo yameonakana yakiizua skafu za Lionel Messi. Yaan wameanza maandalizi ya kuwapokea Barca kwa mikono miwili.
::
Hili pia limenikumbusha kauli ya David Beckham alipowaomba Madrid iwafunge Liverpool.
::
Uswahili haujaanza hapa, upo kote duniani, kila mmoja apambanie mafanikio yake usitegemee sapoti kutoka kwa adui yako
KUTOKA KWA SHAFFIH DAUDA