FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Nov 2, 2009 #181 Jamani nasikia maumivu mpaka leo ushabiki ni kazi ya ziada
Albedo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,558 Reaction score 1,456 Nov 2, 2009 #182 Firstlady1 said: Jamani nasikia maumivu mpaka leo ushabiki ni kazi ya ziada Click to expand... Pole Bibie karibu sana Msimbazi, ni Raha na Furaha kwa Kwenda Mbele, nov 10 tunaenda kumalizana na Mtibwa Tutangaze Ubingwa Raundi ya Kwanza
Firstlady1 said: Jamani nasikia maumivu mpaka leo ushabiki ni kazi ya ziada Click to expand... Pole Bibie karibu sana Msimbazi, ni Raha na Furaha kwa Kwenda Mbele, nov 10 tunaenda kumalizana na Mtibwa Tutangaze Ubingwa Raundi ya Kwanza
Next Level JF-Expert Member Joined Nov 17, 2008 Posts 3,153 Reaction score 180 Nov 2, 2009 #183 Homeboy Fidel na Masa...wanajifanya watalii tu kny hii thread tangia juzi........ha!ha!ha!ha!aaaaaa!
Monsignor JF-Expert Member Joined Jan 29, 2009 Posts 523 Reaction score 14 Nov 2, 2009 #184 Mashabiki wa Kandambili a.k.a yeboyebo waliamua kumalizia hasira zao kwenye masinki ya kunawia msalani. Picha kutoka michuzi blog
Mashabiki wa Kandambili a.k.a yeboyebo waliamua kumalizia hasira zao kwenye masinki ya kunawia msalani. Picha kutoka michuzi blog
Cynic JF-Expert Member Joined Jan 5, 2009 Posts 5,144 Reaction score 1,651 Nov 2, 2009 #185 Cpt Hadock said: Mashabiki wa Kandambili a.k.a yeboyebo waliamua kumalizia hasira zao kwenye masinki ya kunawia msalani. Picha kutoka michuzi blog Click to expand... Duh .. njano njano tu hadi mkojo wao!
Cpt Hadock said: Mashabiki wa Kandambili a.k.a yeboyebo waliamua kumalizia hasira zao kwenye masinki ya kunawia msalani. Picha kutoka michuzi blog Click to expand... Duh .. njano njano tu hadi mkojo wao!
Crashwise JF-Expert Member Joined Oct 23, 2007 Posts 22,227 Reaction score 8,741 Nov 3, 2009 Thread starter #186 Firstlady1 said: Jamani nasikia maumivu mpaka leo ushabiki ni kazi ya ziada Click to expand... Pole sana kwani ni ukoo njoo msimbazi...
Firstlady1 said: Jamani nasikia maumivu mpaka leo ushabiki ni kazi ya ziada Click to expand... Pole sana kwani ni ukoo njoo msimbazi...