NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Huwa nasikitika sana kumuona Gadiel Michael pale simba, akipewa kazi ya kwenda kufukia hirizi kwenye viwanja na kupelekea kupata tuhuma na kufungiwa na TFF.
Lakini suala la kupata namba pale limekua ngumu, hakuna asiyemtambua huyu mchezaji uwezo wake uwanjani, alikiwasha sana kipindi yupo yanga lakini Sasa yupo benchi akiwatazama wenzie huku talanta yake inashuka.
Matumizi ya Ngushi yapo wapi pale yanga, huyu bwana mdogo alionyesha kipaji sana kutoka kwenye timu yake aliyotoka mpaka yanga wakamsajili lakini sasa yupo benchi kawa mpenzi mtazamaji lakini angekua huko alikotoka naimani kabisa angefanya makubwa.
Habibu kyombo, huyu alitoka mbeya kwanza kuja Simba sc, huyu bwana mdogo ana talanta kiukweli ulihitajika muda zaidi kucheza timu zingine ndiyo angeenda Simba sc, lakini Sasa yupo mbao ndefu anapata namba kwenye mechi za kirafiki.
Yusuph athumani huyu ni namba tisa alikuja yanga alikaa benchi mpaka basi lakini bwana mdogo alipokuwa huko kwenye timu yake alikiwasha sana baadae yanga ilimtoa Sasa anapambana kurejesha kiwango huko alipo.
Kiufupi Simba na yanga zinawachukua wachezaji (wazawa) wakiwa na talanta zao kabisa lakini wakija kukaa benchi vijana wanapoteza talanta zao ni wachache sana wanao kuwa endelevu na viwango vyao.
My take timu kongwe (Simba na yanga) zinachangia kwa kiasi kikubwa kuua vipaji vya wachezaji wetu wazawa pale inapowasajili halafu hawapati nafasi ya kucheza.
Hata Abdul sopu angeenda Simba au yanga kipindi kile hakika tusinge msikia Tena.
Lakini suala la kupata namba pale limekua ngumu, hakuna asiyemtambua huyu mchezaji uwezo wake uwanjani, alikiwasha sana kipindi yupo yanga lakini Sasa yupo benchi akiwatazama wenzie huku talanta yake inashuka.
Matumizi ya Ngushi yapo wapi pale yanga, huyu bwana mdogo alionyesha kipaji sana kutoka kwenye timu yake aliyotoka mpaka yanga wakamsajili lakini sasa yupo benchi kawa mpenzi mtazamaji lakini angekua huko alikotoka naimani kabisa angefanya makubwa.
Habibu kyombo, huyu alitoka mbeya kwanza kuja Simba sc, huyu bwana mdogo ana talanta kiukweli ulihitajika muda zaidi kucheza timu zingine ndiyo angeenda Simba sc, lakini Sasa yupo mbao ndefu anapata namba kwenye mechi za kirafiki.
Yusuph athumani huyu ni namba tisa alikuja yanga alikaa benchi mpaka basi lakini bwana mdogo alipokuwa huko kwenye timu yake alikiwasha sana baadae yanga ilimtoa Sasa anapambana kurejesha kiwango huko alipo.
Kiufupi Simba na yanga zinawachukua wachezaji (wazawa) wakiwa na talanta zao kabisa lakini wakija kukaa benchi vijana wanapoteza talanta zao ni wachache sana wanao kuwa endelevu na viwango vyao.
My take timu kongwe (Simba na yanga) zinachangia kwa kiasi kikubwa kuua vipaji vya wachezaji wetu wazawa pale inapowasajili halafu hawapati nafasi ya kucheza.
Hata Abdul sopu angeenda Simba au yanga kipindi kile hakika tusinge msikia Tena.