Simba na Yanga zitaanzia hatua ya awali kwenye Ligi ya Mabingwa Africa msimu ujao 2022/23

Afu Uto watuaibishe tena kama msimu uliopita.
 
Kumbe mavi yanagonga CHUPI eeh??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo uandike kitu kisichokuwepo?? Jana ukasema simba na primere de Agosto, leo na Petro de Luanda,

Basi utashangaa hatukutan na team kutoka Angola. Waza Yanga atakutana na nani?? Simba sie wala hatuwazi yeyote tunaruka nae tyuuh.
 
Sijawahi itaja Agosto, angalia vizuri nimesema PETRO LUANDA
 
Hata kama zote zitaanzia hatua ya awali, Yanga itaondolewa mapema. Simba msimu huu anaweza tinga nusu fainali au fainali kabisa.
Kwa timu gani mkuu? Hii yenye mzungu striker?
 
Comment chini ya 50 na umeshindwa kupata?? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio uzi huyu ni mwingne bhana, wee ngoja tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…