Simba na yanga

Kila kocha hupenda kuwa juu ya mwingine,,,majungu lazima Ila kwa bwana Masoud wamepoteza sana watani zangu
 
Kila kocha hupenda kuwa juu ya mwingine,,,majungu lazima Ila kwa bwana Masoud wamepoteza sana watani zangu
sisi sijui kwa nini tunafanya mambo kiswahili kila mahali tuna matatizo.
 
Simba wachezaji wenu wazee..hawawezi back to back..vikongwe
mkuu inaweza kuwa kweli lakini kwani kila mara tunafukuza makocha tena pasi na sababu za msingi.wote yanga na simba
 
mkuu inaweza kuwa kweli lakini kwani kila mara tunafukuza makocha tena pasi na sababu za msingi.wote yanga na simba
Ukifuatilia vizuri mtiririko (trend) ya kufukuza makocha Simba wamemzidi kwa mbali Yanga, ingawa tabia hiyo ni ya timu zote 2. Ila katika miaka ya karibuni Simba kazidi!!!
 
Ukifuatilia vizuri mtiririko (trend) ya kufukuza makocha Simba wamemzidi kwa mbali Yanga, ingawa tabia hiyo ni ya timu zote 2. Ila katika miaka ya karibuni Simba kazidi!!!
Shida ni kwamba upele ni upele tu bila kujali upele mkubwa wala mdogo.Je tatizo hasa ni nini au ni njia ya watu kupata asilimia kumi.
 
Ukiwa kocha wa kimataifa ukapata kibarua cha kuzinoa timu hizo,wakati unamuaga mkeo na familia usiwaambie umepata kazi.Bali waambie nimepata kimpango cha kwenda kusimamia vyoo viwili vya soka Tanzania.wasalaam
Utakuwa mkia wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…