PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Hakika unajua thamani ya maneno na Ubunifu wa yule Bwana. Manara alichofanya kwa Simba ni sawa na kile aliwahi kufanya Maximo kwa Taifa Stars. Manara Pale SIMBA ni ASSET.Tukubali pia Manala amefanya kitu kwenye hamasa
hivi kwanini % kubwa ya Waislamu ni mashabiki wa Simba?Ukweli mchungu. Ila mwenye macho haambiwi tazama. Mikoani. Dar kila maali ni simba brother.
kama nimfuatiliaji mzuri wa mechi utagundua simba ndio tim yenye washabiki wengi bara na visiwani. Ukirejea tamasha la simba day. Mechi ya mbambane. Nkana. Js soura. Elliy haly na leo watani. Utagundua wingi wa mashabiki ni wa simba.
hivyo nawashauri viongozi wa simba kutumia fursa hii kuifanya simba iwe bora kabisa africa na dunia kwa ujumla. Mashabiki wengi ni fursa nzuri kama ikitumiwa vizuri.
Is there any evidence so far...?? Haina ukweli hata kidogo.. labda hapo Mtwara kwa kuwa 90% ni waislam basi unajumuisha TZ nzima..hivi kwanini % kubwa ya Waislamu ni mashabiki wa Simba?
Nakubali kabisaa....100% trueTukubali pia Manala amefanya kitu kwenye hamasa
Kazi unayo!!!udini kila mahali mpk wewe!loohivi kwanini % kubwa ya Waislamu ni mashabiki wa Simba?
Sio kweli? Kwa sehemu Za Arusha na Kilimanjaro huku karbia wote simbahivi kwanini % kubwa ya Waislamu ni mashabiki wa Simba?
hivi kwanini % kubwa ya Waislamu ni mashabiki wa Simba?
Ki idadi kwa maana ya nchi nzima Yanga ina mashabik weng ila Mashabiki wa simba wanaongoza kwenda uwanjan kushangalia team yao sio dar tu mpka mikoani.