Simba ndio timu yenye Mashabiki wengi Tanzania

Ki idadi kwa maana ya nchi nzima Yanga ina mashabik weng ila Mashabiki wa simba wanaongoza kwenda uwanjan kushangalia team yao sio dar tu mpka mikoani.
Sasa kuna maana gani ya kuwa mshahiki kivuli?
 
Kwamba Yanga ndiyo yenye mashabiki wengi halina ubishi. Kuna sababu zake na hasa historia ya Club hiyo.

Wingi wa mashabiki uwanjani huendana na upepo wa wakati husika.

Wakati wa kampa, kampa tena, mashabiki wengi viwanjani walikuwa wa Yanga.

Kwa sasa hakuna ubishi wengi viwanjani ni wa Mikia.
 
Sasa Unajuaje yanga wapo wengi kuliko simba? Kipimo pekee kwa Sasa ni uwanjani na hata simba wanapofanya vibaya mashabiki wake tunawaona uwanjani.
Acha uongo,mashabiki wa Simba wakati hamna hela mnasingizia kukuza vijana kina na miaka mi4 bila ubingwa mlikuwa mnaenda viwanjani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…