johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haijawahi kutokea katika ligi yoyote duniani nchi kuwa na mechi za viporo kama ilivyotokea kwa Simba SC ya Tanzania.
TFF wanastahili pongezi kwa kutuingiza katika kitabu cha Maajabu ya Dunia.
CCM hoyeee........! Karia hoyeee....... MO hoyeee......!
Maendeleo hayana vyama!
TFF wanastahili pongezi kwa kutuingiza katika kitabu cha Maajabu ya Dunia.
CCM hoyeee........! Karia hoyeee....... MO hoyeee......!
Maendeleo hayana vyama!