Simba ni mbovu, ni katimu ka Makundi tu, hakajawahi kupitia mechi za mtoano

Simba ni mbovu, ni katimu ka Makundi tu, hakajawahi kupitia mechi za mtoano

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Hawa Mwakarobo x 4, aka Kilo moja ni katimu kamoja kadogo, na kanachojifanya ni katimu ka kimataifa.
Hii Timu ya Simba inatumia kivuli Cha Robo fainali nne kujiita wao wakubwa, kiuhalisia Simba imefuzu au kupita hatua za Makundi mara nne , wakati mwingine ikiwa ya pili au ya kwanza na kuishia hapo hapo, ni tuseme Simba mara zote inaishia Makundi tu.

Simba haijawahi kupenya katika mechi za mtoano, hawana mbinu ya kuzicheza mechi za mtoano, Simba anaweza mechi za Makundi tu, stage ya Makundi ikiisha na biashara yao imeisha.

Simba wajifunze Kwa yanga kucheza mechi za knockout, Wala haikupaswa kuitwa robo fainali ulitakiwa tuseme hatua ya mtoano ambayo Simba hajawahi kuweza.

Amebaki Kusema timu zinazotutoa zinaenda fainali au kuchukua kombe, hio inakusaidia Nini Mangungu Utd, jifunzeni Kwa Yanga.

Naiona Yanga ikichukua kombe ya Mabingwa Mwakani kwakuwa wanajua kucheza mechi za mtoano
 
Watuoneshe medali ya fainali yoyote hile kama hawata kuletea ya mapinduzi cup
 
Watuoneshe medali ya fainali yoyote hile kama hawata kuletea ya mapinduzi cup
Medali anapewa mchezaji siyo klabu . Ukizihitaji waone Mohamed Mwameja ,Kasongo Athumani , Twaha Hamidu ,Mstapha Hoza ,George Magere Masatu , Husen Marsha, Thomas Kipese , Malota Soma, Marehemu Leny Ramadhani, Marehemu Edward Chumila , Dua said na wengineo kama vile Ofen Martine , Fikiri Magoso watakuonesha. ,
 
Medali anapewa mchezaji siyo klabu . Ukizihitaji waone Mohamed Mwameja ,Kasongo Athumani , Twaha Hamidu ,Mstapha Hoza ,George Magere Masatu , Husen Marsha, Thomas Kipese , Malota Soma, Marehemu Leny Ramadhani, Marehemu Edward Chumila , Dua said na wengineo kama vile Ofen Martine , Fikiri Magoso watakuonesha. ,
Wenye akili ni wawili tu sasa hawa wengine watajuaje hayo yote
 
Back
Top Bottom