Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUNA AKILI.Makolo mmecharuka haswaaaaa
Alafu mmeacha kuzungumzia actual football kwenye field mnahangaika haswa na mara historia, mara thamani, mara kufika robo fainali, mara sijui nini.
Hebu jadilini uimara wa kikosi cha Simba uwanjani. Hizi siasa za nje ya dimba zinazidi kuwalostisha. Muda unakwenda Sana, mnahitaji kujadili na kuimarisha uwezo wa wachezaji ndani ya uwanja
Sawa mkuu shukrani SanaHUNA AKILI.
Sema huyo mtu wao aliendaa hiyo picha ameniudhi inaonekana hajui rangi za Simba..anawekaje maandishi yenye rangi ya njano??TBC TAIFA.View attachment 2576097
Mkuu Wana kombe la Robo Fainali CLThamani ya ni nje ya watanzania sio ndani
Misimu 2 yote hawana kombe ya Kigi kuu, shirikisho na hawajui ni lini watapata
Kwa hiyo Tanzania timu ambayo haina Kombe hizo mfululizo ndio inakuwa Timu Bora Tanzania?
Naona hujalisahau kombe lenu la Robo1)Robo final 3 za CAF Champions league
2)Robo final moja ya CAF confederation (a.k.a kombe la ...)
Misimu miwili Zamalek walichukua kombe ligi kuu Misri ila ikaonekana si kitu mbele ya Al Ahly Cairo
Wamesema yenye thamaniyThamani ya ni nje ya watanzania sio ndani
Misimu 2 yote hawana kombe ya Kigi kuu, shirikisho na hawajui ni lini watapata
Kwa hiyo Tanzania timu ambayo haina Kombe hizo mfululizo ndio inakuwa Timu Bora Tanzania?
Wana kombe lao la Robo FainaliMakolo mmecharuka haswaaaaa
Alafu mmeacha kuzungumzia actual football kwenye field mnahangaika haswa na mara historia, mara thamani, mara kufika robo fainali, mara sijui nini.
Hebu jadilini uimara wa kikosi cha Simba uwanjani. Hizi siasa za nje ya dimba zinazidi kuwalostisha. Muda unakwenda Sana, mnahitaji kujadili na kuimarisha uwezo wa wachezaji ndani ya uwanja
Naona hujalisahau kombe lenu la Robo
Kuna timu fulani mara ya mwisho kuingia makundi Champions league. Ilikuwa ukitoka Dar to Mwanza itabidi uende Kenya kwanza ukatokezee Sirari.1)Robo final 3 za CAF Champions league
2)Robo final moja ya CAF confederation (a.k.a kombe la ...)
Misimu miwili Zamalek walichukua kombe ligi kuu Misri ila ikaonekana si kitu mbele ya Al Ahly Cairo
Mbona hawa jamaa inafahamika kuwa HAWANAGA AKILI.Ila utopolo wana vichwa vizito mnoo,, hakuna aliyezungumzia kombe hapo, hiyo ni thamani ya klabu kuna vingi vinavyoipa thamani klabu,, ukiachana na Azizi ki ambaye ni dhahiri mmepigwa hamna mchezaji mwingine yeyote mliyemnunua, mmebakiza kuvizia wachezaji wa AS vita wanaotemwa ndo mnachukua tena mlivyokosa haya mnawaleta kimafungu mna wamwaga hapo utopoloni.