Simba ningewaomba mjiandae kisaikolojia kabisa, mwakani hamna chenu

Simba ningewaomba mjiandae kisaikolojia kabisa, mwakani hamna chenu

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Najua baada ya matokeo ya leo kauli zenu Wanasimba zitakazotapakaa ni kwamba mtajiandaa kwa msimu ujao, licha ya kua mlisema nguvu zenu mumezielekeza fa[emoji23][emoji23]

Ningeomba niwatoe wasiwasi na kimuhemuhe kuhusu ya msimu ujao na kuwaandaa kisaikolojia kwa wale wana makolo werevu, Young Africans almaarufu Yanga baada ya kuchukua kombe la Caf hapo siku za mbele na kuvizoa hiv vikombe vya uswahilini nbc&fa mwakani shabaa yao itakuwa kuendelea kutawala soka la nyumbani kwa kuvizoa hiv vikombe vidogo vyote na kulileta kombe la klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza Tanzania

Wana makolo werevu tunawahitaj mje mfurahie ushind wetu J tano

Young Africans we trust the process
 
Aliekwambia wanathimba tuna hofu ni nani??
Dunia hii kuna aliewahi kufikia mafanikio ya simba hii!!
Kuna club duniani imewahi kubeba huu ubingwa hapa 👇
AddText_05-07-05.55.40.jpg
 
Kambi Ismailia- Misri
Kambi Dubai
Kambi Sudan
Kambi Zanzibar

NB: Bingwa alikua Avic Town anacheza ndondo na Abajalo fc, Fountain Gate, mbagala market united, Temeke all stars [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanatakiwa wajifunze kitu kutoka kwa Wanayanga
 
Kambi Ismailia- Misri
Kambi Dubai
Kambi Sudan
Kambi Zanzibar

NB: Bingwa alikua Avic Town anacheza ndondo na Abajalo fc, Fountain Gate, mbagala market united, Temeke all stars 😂😂😂😂😂😂
Aisee hadi huruma. Mbwembwe nyingi, halafu mwisho wa msimu hakuna hata kikombe cha maji.
 
Kambi Ismailia- Misri
Kambi Dubai
Kambi Sudan
Kambi Zanzibar

NB: Bingwa alikua Avic Town anacheza ndondo na Abajalo fc, Fountain Gate, mbagala market united, Temeke all stars [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesahau walienda Egypt
 
Back
Top Bottom