Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Mwaka jana mke wetu Al Ahly alitukwepa kwenye CAF CL
Akapata kombe la ndondokela dhidi Wydad
Sasa tunakutana kwenye AFL,mjiandae na muupake kabisa mafuta
Enyi wana simba njoeni mumuone kaka yake na Yanga anavyompiga nje ndani Al Ahly
Tena siyo kwa goli chache,kuanzia tano kwenda juu
Wamekuja wenyewe ghetto
#Mpira Bila ya Mbereko Inawezekana
Akapata kombe la ndondokela dhidi Wydad
Sasa tunakutana kwenye AFL,mjiandae na muupake kabisa mafuta
Enyi wana simba njoeni mumuone kaka yake na Yanga anavyompiga nje ndani Al Ahly
Tena siyo kwa goli chache,kuanzia tano kwenda juu
Wamekuja wenyewe ghetto
#Mpira Bila ya Mbereko Inawezekana