Simba njoeni mjifunze kwa Mamelodi Sundowns jinsi ya kumtindua Al Ahly

Simba njoeni mjifunze kwa Mamelodi Sundowns jinsi ya kumtindua Al Ahly

Kilimbatz

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
4,331
Reaction score
5,865
Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa

Na kudondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi ya Wydad

Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda

Mungu si Selemani, tumekutana.

Enyi Simba hebu njoeni mjifunze kwa kaka yake na Yanga jinsi ya kumtindua mwarabu nje ndani

#Mpira Bila ya Mbereko Inawezekana

20231025_090204.jpg
Screenshot_20231024-195512_Chrome.jpg
 
Mapema mwaka hui Al Ahly walitukwepa

Na kidondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi yaWydad

Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda

Mungu si Selemani,tumekutana

Enyi Simba ebu njoeni mjifunze kwa kaka yake na Yanga jinsi ya kumtindua mwarabu nje ndani

#Mpira Bila ya Mbereko InawezekanaView attachment 2792056View attachment 2792057
Hizo mbinu kwa nini usiwafundishe Yanga? Mwenye uhitaji huo ili atoe mwiko ni Utopolo.
 
Back
Top Bottom