ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Jana yanga tumepoteza pointi tatu muhimu katika mechi dhidi ya Rivers united ya Nigeria Simba wametuzomea sana kana kwamba hawajui hali yetu.
kwa sasa tujuavyo Simba kwetu sisi ni mke wetu..na mara zote mke huwa anajua raha na karaha zote anazopitia mume wake
Sasa ajabu simba wanajitoa akili kujitia ati hawajui magumu tunayopitia ikumbukwe ligi msimu huu zilichelewa kuisha Yanga tumesajiri pamoja na kuuza wachezaji.
Muda wa maandalizi na kuzoeana wachezaji pamoja na benchi la ufundi umekua finyu mno...mbali na hayo wachezaji wetu watatu maahiri na muhimu kwetu wamezuiwa kushiriki mchezo huo wa jana hii imepelekea yanga kushindwa pata matokeo mazuri.hizo ndiyo sababu kubwa na tatizo lililopo jangwani lakini bado tuna imani kubwa na timu pamoja na mwalimu.
Simba acheni kuongea sana wakati mnajua fika hali yetu lakini tulieni tunakutana katika ligi na huko tuendapo mbona mtaomba poo!
kwa sasa tujuavyo Simba kwetu sisi ni mke wetu..na mara zote mke huwa anajua raha na karaha zote anazopitia mume wake
Sasa ajabu simba wanajitoa akili kujitia ati hawajui magumu tunayopitia ikumbukwe ligi msimu huu zilichelewa kuisha Yanga tumesajiri pamoja na kuuza wachezaji.
Muda wa maandalizi na kuzoeana wachezaji pamoja na benchi la ufundi umekua finyu mno...mbali na hayo wachezaji wetu watatu maahiri na muhimu kwetu wamezuiwa kushiriki mchezo huo wa jana hii imepelekea yanga kushindwa pata matokeo mazuri.hizo ndiyo sababu kubwa na tatizo lililopo jangwani lakini bado tuna imani kubwa na timu pamoja na mwalimu.
Simba acheni kuongea sana wakati mnajua fika hali yetu lakini tulieni tunakutana katika ligi na huko tuendapo mbona mtaomba poo!