SIMBA PLAYERS RATINGS VS COASTAL UNION 04.10.2024

SIMBA PLAYERS RATINGS VS COASTAL UNION 04.10.2024

Mngoni asiyepiga gambe

Senior Member
Joined
May 4, 2017
Posts
151
Reaction score
318
1.Mussa Camara
Siku mbaya kazini ngumu kumtenga na lawama za goli la 2 la coastal union pengine itampa funzo flani 4/10

2.Shomari Kapombe

Perfomance nzuri kwake hakuwa na baya kubwa ingawa goli la pili lilipitia upande wake huenda angekuwa kwenye nafasi yake angesaidia kuleta presha kwa mfungaji 6/10

3. Moh'd Hussein

Miongoni mwa wachezaji wachache wenye consistency nzuri ndani ya timu tatizo lake kubwa cross na mipira yake ya mwisho hukosa maono mara nyingi 6/10

4.Che Malone Fondoh

Perfomance nzuri
kati ya sifa nzuri kwake ni wepesi wa kurecover kwenye position na kutrack mpinzani pia ni mzuri kwenye mipira ya juu na leadership presence nzuri kwenye back line 7/10

5.Abdul Hamza

Perfomance nzuri
utapenda anavyojitahidi kufanya mambo ya msingi na kwa urahisi kwenye majukumu yake hataki ku over Do, win the ball release the ball precisely thats it 7/10

6. Augustino Okejepha

Pengine huyu si typical defensive midfielder wala sio holding ana traits za CM so ukimpanga kama namba 6 inabidi juu yake uwe na namba 8 ambae ana uwezo mzuri wa kulinda(kama Muzamiru), utaelewa kwann Ngoma aliingizwa ni kwa sababu kocha alihitaji holding midfield mwenye awareness ya eneo la ulinzi ,ila ni mchezaji mzuri 5/10

7. Joshua Mutale

Perfomance ya wastan
ni mzuri katika combinatiom play pale timu inapocheza karibu karibu na zaidi ana impact nzuri akiwa ana invert kama namba 10 pia ni mzuri sana kwenye off the ball movements, tatizo si decision maker mzuri akiwa na mpira 5/10

8 Debora Fernandez

Pure CM mzuri akiwa na bila mpira pia anaenyoy kucheza kwa karibu karibu nadhan ana tatizo la kuishiwa pumzi mapema may be huenda anaathiriwa na timu kukosa kiungo mzuri namba 10 wa kuhold timu(namba 10 ndo mtu anaewahold 6 na 8) 6/10

9 Lionel Ateba

hakuwa na mchezo mzuri sana muda mwingi alikuwa isolated hakuwa na huduma nzuri toka pembeni ya uwanja pia idadi ndogo ya wachezaji wa Simba wenye tabia za kushambulia box inachangia kumuathiri. 5/10

10 Jean Ahoua

Tuelewane kitu hapa moja ya nafasi ngumu kupata mtu sahihi ni namba 10 na ndo maana makocha wanaimprovise kupitia mifumo na majukumu ya wachezaji kufidia hilo huyu ni mchezaji mzuri kwenye turn overs na counter attacks coz ana quick scanning na decisions , ila hana aggresiveness ya kulazimisha matukio na kutake solo initiative(hususani ukicheza na timu zinazolinda muda mwingi utahitaji watu wa namna hii mfano Sakho,Onana,Chama,Pacome)
Haikuwa siku nzuri kwake 5/10

11 Kibu Denis

Perfomance mbaya kwake
kuna Kibu wawili yule anaecheza game kubwa na yule anaecheza dhidi ya mid table teams ni kama anachagua mechi za kujituma
4/10.
Subs; Ngoma 6/10 , Balua 4/10 , Mukwala 3/10,Awesu 4/10

N;B huu ni mtazamo wangu binafsi ruksa kutoa povu ,kukosoa na kuchangia chochote football is subjective.
 
Kwa kiasi kikubwa rating yako iko sahihi.

Kwa kikosi cha wachezaji waliopo sasa, hii ndiyo ingekuwa lineup yangu ya kuanza:
1. Camara
2. Kapombe
3. Nouma
4. Hamza/Chamou
5. Che Malone
6. Kagoma
7. Chasambi
8. Okejepha
9. Ateba
10. Fernandez
11. Nouma/Kibu/Karabaka

Mimi siyo mshabiki wa uchezaji wa Zimbwe kuanzia kwenye style yake ya ulinzi hadi uwezo wake kwenye kushambulia. Kapombe hana mbadala, Kijili ana kasi ila bado hajaniridhisha.
 
Kwa kiasi kikubwa rating yako iko sahihi.

Kwa kikosi cha wachezaji waliopo sasa, hii ndiyo ingekuwa lineup yangu ya kuanza:
1. Camara
2. Kapombe
3. Nouma
4. Hamza/Chamou
5. Che Malone
6. Kagoma
7. Chasambi
8. Okejepha
9. Ateba
10. Fernandez
11. Nouma/Kibu/Karabaka

Mimi siyo mshabiki wa uchezaji wa Zimbwe kuanzia kwenye style yake ya ulinzi hadi uwezo wake kwenye kushambulia. Kapombe hana mbadala, Kijili ana kasi ila bado hajaniridhisha.
nakubali Zimbwe si mzuri sana kiulinzi inabidi winga awe anamsaidia sana,pia nishawahi kufikiria debora acheze kama namba 10 kuipa timu balance nzuri hususan kwenye game ngumu (kama alivyokuwa anafanya benchika kuwatumia Ngoma,Sarr na Kanoute )
 
1.Mussa Camara
Siku mbaya kazini ngumu kumtenga na lawama za goli la 2 la coastal union pengine itampa funzo flani 4/10

2.Shomari Kapombe

Perfomance nzuri kwake hakuwa na baya kubwa ingawa goli la pili lilipitia upande wake huenda angekuwa kwenye nafasi yake angesaidia kuleta presha kwa mfungaji 6/10

3. Moh'd Hussein

Miongoni mwa wachezaji wachache wenye consistency nzuri ndani ya timu tatizo lake kubwa cross na mipira yake ya mwisho hukosa maono mara nyingi 6/10

4.Che Malone Fondoh

Perfomance nzuri
kati ya sifa nzuri kwake ni wepesi wa kurecover kwenye position na kutrack mpinzani pia ni mzuri kwenye mipira ya juu na leadership presence nzuri kwenye back line 7/10

5.Abdul Hamza

Perfomance nzuri
utapenda anavyojitahidi kufanya mambo ya msingi na kwa urahisi kwenye majukumu yake hataki ku over Do, win the ball release the ball precisely thats it 7/10

6. Augustino Okejepha

Pengine huyu si typical defensive midfielder wala sio holding ana traits za CM so ukimpanga kama namba 6 inabidi juu yake uwe na namba 8 ambae ana uwezo mzuri wa kulinda(kama Muzamiru), utaelewa kwann Ngoma aliingizwa ni kwa sababu kocha alihitaji holding midfield mwenye awareness ya eneo la ulinzi ,ila ni mchezaji mzuri 5/10

7. Joshua Mutale

Perfomance ya wastan
ni mzuri katika combinatiom play pale timu inapocheza karibu karibu na zaidi ana impact nzuri akiwa ana invert kama namba 10 pia ni mzuri sana kwenye off the ball movements, tatizo si decision maker mzuri akiwa na mpira 5/10

8 Debora Fernandez

Pure CM mzuri akiwa na bila mpira pia anaenyoy kucheza kwa karibu karibu nadhan ana tatizo la kuishiwa pumzi mapema may be huenda anaathiriwa na timu kukosa kiungo mzuri namba 10 wa kuhold timu(namba 10 ndo mtu anaewahold 6 na 8) 6/10

9 Lionel Ateba

hakuwa na mchezo mzuri sana muda mwingi alikuwa isolated hakuwa na huduma nzuri toka pembeni ya uwanja pia idadi ndogo ya wachezaji wa Simba wenye tabia za kushambulia box inachangia kumuathiri. 5/10

10 Jean Ahoua

Tuelewane kitu hapa moja ya nafasi ngumu kupata mtu sahihi ni namba 10 na ndo maana makocha wanaimprovise kupitia mifumo na majukumu ya wachezaji kufidia hilo huyu ni mchezaji mzuri kwenye turn overs na counter attacks coz ana quick scanning na decisions , ila hana aggresiveness ya kulazimisha matukio na kutake solo initiative(hususani ukicheza na timu zinazolinda muda mwingi utahitaji watu wa namna hii mfano Sakho,Onana,Chama,Pacome)
Haikuwa siku nzuri kwake 5/10

11 Kibu Denis

Perfomance mbaya kwake
kuna Kibu wawili yule anaecheza game kubwa na yule anaecheza dhidi ya mid table teams ni kama anachagua mechi za kujituma
4/10.
Subs; Ngoma 6/10 , Balua 4/10 , Mukwala 3/10,Awesu 4/10

N;B huu ni mtazamo wangu binafsi ruksa kutoa povu ,kukosoa na kuchangia chochote football is subjective.
KOCHA Nampa 3/10 kuchelewa kufanya sub na kushindwa kufanya rotation ya wachezaji na kutumia haohao Kila mechi
 
Mimi nawapa baadhi ya mashabiki wa Simba 1/10! Maana wenyewe timu hata ikitoa sare, ni malalamiko tu.
Ndo tabia za timu kubwa hizo hata Yanga alishinda moja na KMC washabiki hawakuelewa na infact ni kitu kinawafanya wachezaji wajitume si sawa na wakichezea Azam au Namungo
 
Kibu huwa anachelewa Sana kurudi kusaidia ukabaji kwa Tshabalala...
Sio game ya Jana tu.
 
Back
Top Bottom