Simba players ratings vs Young African 19.10.2024

Simba players ratings vs Young African 19.10.2024

Mngoni asiyepiga gambe

Senior Member
Joined
May 4, 2017
Posts
151
Reaction score
318
Huu ni mtazamo wangu binafsi wa kile walichokifanya wachezaji wa Simba kwenye mechi ya derby

1. Mussa Camara
kosa lingine kubwa kwa golikipa tegemeo kwa mpira ambao angeweza kuupangua nje kwa hakika simba inahitaji kufikiria tena maamuzi ya kutaka kumuacha Lakred 3/10

2. Kapombe
nidhamu nzuri ya ulinzi na maamuzi mengi mazuri uwanjani 6/10

3. Zimbwe jr
kiwango cha wastani kidogo awazadie yanga goli kwa pasi hafifu ya ndani 4/10

4. Che fondo Malone
mchezaji bora zaidi kwa upande wa simba utulivu ,maamuzi mengi mazuri na interception bora 7/10

5. Hamza
kiwango cha wastan toka kwake kdg asababishe faulo ya kadi nyekundu kwa faulo dhidi ya dube
5/10

6. Kagoma
nidhamu nzuri ya ulinzi na uwezo wa kukaa kwenye njia za hatari na kiwango kizuri kwake hapana shaka simba iliathirika na pengo lake 6/10

7. Mutale
kiwango kizuri kwake hususan kipindi cha kwanza aliinvert na kumkosesha Aucho uhuru kwenye eneo lake,work rate kubwa sana ni faida timu inapokuwa haina mpira 5/10

8.Debora
kiwango kizuri hasa kipindi cha kwanza japo kuna namna aliathirika kwa kumkosa Kagoma na alionekana akirudi chini zaidi 6/10

9 Ateba
kiwango cha wastan ,alipaswa kuamua mchezo mapema 5/10

10 Ahoua
mchezo wa wastan kwake pamoja na kukosa spid ila ana ubora wa kusoma spaces na ku exploit japo si mzuri ku ambush zone ya mwisho kama namba 10 wengi 5/10

11 Kibu
Kiwango cha wastan uwanjan bado tatizo la maamuzi kuna nyakati linamsumbua ila alikuwa na nyakati kadhaa nzuri 5/10

Subs:
Balua
kiwango kibovu tatizo la maamuzi kwa wakati sahihi ni kubwa kwake,hakika si mchezaji wa kutegemewa 3/10

Kijiri
huenda ni moja ya sajiri mbovu sana msimu huu poor poor 2/10

Okejepha
anakosa utulivu na authority katikati ya uwanja si mkabaji mzuri sana hana awareness za kiulinzi 4/10

Karaboue
kiwango cha wastan hakuwa na baya 5/10

Overall remarks
Simba walikuwa na mechi bora mpango mzuri wa kitimu kujilinda ila kuna namna kukosa quality na uzoefu kwa wachezaji wa akiba kumeigharimu timu ila progress ni nzuri
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Simba wakicheza vizuri dk 20/25 za kwanza, wakianza mech vizuri lakini kadri muda ulivyokua ukisogea bettery ilikua ikisoma Low.

Kipindi Cha pili Simba ilikua dhoofu Sana, ata sub ya Kocha kumtoa Kibu na kuingia Kijiri ili onyesha Hali ilikua mbaya.
Kocha aliona Bora atafute suluhu ila Quality ika mgomea.
 
Nawapongeza sana simba kwa kuimarika,wamecheza vizuri,hadi pacome,aziz ki na dube wanafanyiwa sub,mambo yalikua magumu,
Hata goli walilopata ni makosa ya kibinadamu tu,ateba ni mtu sana,alikabwa na mabeki 3,che malon big up,fernandes alifanya,pacome,nzengeli,aziz ki wasinga'e sana,zile kampa,kampa tena hazikuwepo kivile,camara ni kipa wa kisasa,mzuri sana,sema yeye siyo malaika kwamba asikosee..
 
Nawapongeza sana simba kwa kuimarika,wamecheza vizuri,hadi pacome,aziz ki na dube wanafanyiwa sub,mambo yalikua magumu,
Hata goli walilopata ni makosa ya kibinadamu tu,ateba ni mtu sana,alikabwa na mabeki 3,che malon big up,fernandes alifanya,pacome,nzengeli,aziz ki wasinga'e sana,zile kampa,kampa tena hazikuwepo kivile,camara ni kipa wa kisasa,mzuri sana,sema yeye siyo malaika kwamba asikosee..
Nakubaliana na wewe simba wameonyesha uhai sana tofauti na tulivyotegemea
 
Simba wakicheza vizuri dk 20/25 za kwanza, wakianza mech vizuri lakini kadri muda ulivyokua ukisogea bettery ilikua ikisoma Low.

Kipindi Cha pili Simba ilikua dhoofu Sana, ata sub ya Kocha kumtoa Kibu na kuingia Kijiri ili onyesha Hali ilikua mbaya.
Kocha aliona Bora atafute suluhu ila Quality ika mgomea.
Kijiri aliingia ili kumrudisha boka nyuma(strech) kwa spid zake hii ingepunguza threat ya Yanga /number kwenye midfield
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi wa kile walichokifanya wachezaji wa Simba kwenye mechi ya derby
1.Mussa Camara
kosa lingine kubwa kwa golikipa tegemeo kwa mpira ambao angeweza kuupangua nje kwa hakika simba inahitaji kufikiria tena maamuzi ya kutaka kumuacha Lakred 3/10
2.Kapombe
nidhamu nzuri ya ulinzi na maamuzi mengi mazuri uwanjani 6/10
3.Zimbwe jr
kiwango cha wastani kidogo awazadie yanga goli kwa pasi hafifu ya ndani 4/10
4.Che fondo Malone
mchezaji bora zaidi kwa upande wa simba utulivu ,maamuzi mengi mazuri na interception bora 7/10
5.Hamza
kiwango cha wastan toka kwake kdg asababishe faulo ya kadi nyekundu kwa faulo dhidi ya dube
5/10
6.Kagoma
nidhamu nzuri ya ulinzi na uwezo wa kukaa kwenye njia za hatari na kiwango kizuri kwake hapana shaka simba iliathirika na pengo lake 6/10
7. Mutale
kiwango kizuri kwake hususan kipindi cha kwanza aliinvert na kumkosesha Aucho uhuru kwenye eneo lake,work rate kubwa sana ni faida timu inapokuwa haina mpira 5/10
8.Debora
kiwango kizuri hasa kipindi cha kwanza japo kuna namna aliathirika kwa kumkosa Kagoma na alionekana akirudi chini zaidi 6/10
9 Ateba
kiwango cha wastan ,alipaswa kuamua mchezo mapema 5/10
10 Ahoua
mchezo wa wastan kwake pamoja na kukosa spid ila ana ubora wa kusoma spaces na ku exploit japo si mzuri ku ambush zone ya mwisho kama namba 10 wengi 5/10
11 Kibu
Kiwango cha kupanda na kushuka uwanjan bado tatizo la maamuzi kuna nyakati linamsumbua 4/10

Subs:
Balua
kiwango kibovu tatizo la maamuzi kwa wakati sahihi ni kubwa kwake,hakika si mchezaji wa kutegemewa 3/10
Kijiri
huenda ni moja ya sajiri mbovu sana msimu huu poor poor 2/10
Okejepha
anakosa utulivu na authority katikati ya uwanja si mkabaji mzuri sana hana awareness za kiulinzi 4/10
Karaboue
kiwango cha wastan hakuwa na baya 5/10

Overall remarks
Simba walikuwa na mechi bora mpango mzuri wa kitimu kujilinda ila kuna namna kukosa quality na uzoefu kwa wachezaji wa akiba kumeigharimu timu ila progress ni nzuri
Hizi rating sio standard kabisa. Ukitoa 3/10 ni performance ya substitute
 
Nawapongeza sana simba kwa kuimarika,wamecheza vizuri,hadi pacome,aziz ki na dube wanafanyiwa sub,mambo yalikua magumu,
Hata goli walilopata ni makosa ya kibinadamu tu,ateba ni mtu sana,alikabwa na mabeki 3,che malon big up,fernandes alifanya,pacome,nzengeli,aziz ki wasinga'e sana,zile kampa,kampa tena hazikuwepo kivile,camara ni kipa wa kisasa,mzuri sana,sema yeye siyo malaika kwamba asikosee..
Kwa kifupi ungesema mvua zimeharibu utamu wa mchezo wa leo na kuisaidia Simba kutokufungwa magoli mengi.
 
Golikipa Mbwembwe zimetucost goli. Alijua mpira unatoka nje ila alitaka kuudaka kwa ajili ya sifa na mbwembwe

Mabeki wa kulia na kushoto wamechoka ni wakati sasa Simba ikatafuta wachezaji wazuri wa kuwapokea Kapombe na Zimbwe. Zimbwe alikuwa anapoteza sana pasi, wanawapa kazi sana mabeki wa kati

Atafutwe namba 10 wa kiwango kumlisha Ateba. Ateba ni mtu sana anahitaji huduma tu.
 
Kocha ningemoa 3/10 sub mbovu na kutaka draw badala ya ushindi.
Shabalala mwishoni alikuwa anataka kuchomesha kwa pasi mbovu .
Ahoua alichoka Ila kocha alimwcha Hadi mwisho .
 
Kijiri aliingia ili kumrudisha boka nyuma(strech) kwa spid zake hii ingepunguza threat ya Yanga /number kwenye midfield
Kama mpango ni boka asipande alitakiwa anapo mtoa Kibu ampeleke winga mwingine mwenye mwendo kwakua Kijiri ufanisi wake wa kushanbulia ni mdogo.

Kwasasa Yanga eneo la kiungo linatumika zaidi kuzuia ila kwenye kushanbulia pale kwenye kiungo mipira ai Kai ikifika Ina badilishwa uelekeo tu, mpira utacheza kulia au kushoto mwa lango la mpinzani Tena kwa spidi kubwa.
Ndio maana beki za pembeni za Simba zilichoka Sana.
 
Kama mpango ni boka asipande alitakiwa anapo mtoa Kibu ampeleke winga mwingine mwenye mwendo kwakua Kijiri ufanisi wake wa kushanbulia ni mdogo.

Kwasasa Yanga eneo la kiungo linatumika zaidi kuzuia ila kwenye kushanbulia pale kwenye kiungo mipira ai Kai ikifika Ina badilishwa uelekeo tu, mpira utacheza kulia au kushoto mwa lango la mpinzani Tena kwa spidi kubwa.
Ndio maana beki za pembeni za Simba zilichoka Sana.
Kuna namna alidhani atapata balance nzuri ya kiulinzi na kiushambuliaji toka kwake i think ni kukosa quality kwenye subs pengine angekuwa na chaguo bora zaidi asingemwingiza Kijiri.
Chasambi si chaguo la kocha na namwelewa kocha anapenda winga ambae ni aggressive with and with out the ball,off the ball Chasambi si mzuri sana
 
Golikipa Mbwembwe zimetucost goli. Alijua mpira unatoka nje ila alitaka kuudaka kwa ajili ya sifa na mbwembwe

Mabeki wa kulia na kushoto wamechoka ni wakati sasa Simba ikatafuta wachezaji wazuri wa kuwapokea Kapombe na Zimbwe. Zimbwe alikuwa anapoteza sana pasi, wanawapa kazi sana mabeki wa kati

Atafutwe namba 10 wa kiwango kumlisha Ateba. Ateba ni mtu sana anahitaji huduma tu.
Bado scout ni tatizo kila sajiri za full back zinakuwa flop ila kwa hakika Zimbwe na Kapombe ni wachezaji wanaostahili heshima kwa consistency nzuri
 
Nawapongeza sana simba kwa kuimarika,wamecheza vizuri,hadi pacome,aziz ki na dube wanafanyiwa sub,mambo yalikua magumu,
Hata goli walilopata ni makosa ya kibinadamu tu,ateba ni mtu sana,alikabwa na mabeki 3,che malon big up,fernandes alifanya,pacome,nzengeli,aziz ki wasinga'e sana,zile kampa,kampa tena hazikuwepo kivile,camara ni kipa wa kisasa,mzuri sana,sema yeye siyo malaika kwamba asikosee..
ww kweli ni mwana michezo
 
Back
Top Bottom