Simba Queens wajihakikishia $ 200,000 baada ya kutinga Nusu Finali ya CAF Women Champions League

danymTZ

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
376
Reaction score
575
Hongereni Simba kwa uwekezaji wa kimkakati. Kwa kufika nusu fainal Simba Queens wameingizia Simba $ 200, 000 ambazo ni karibu na zawadi ya NBC premier league champion.

Wakifika final watapata $150, 000 na bingwa anachukua $400, 000.
 

Hongera sana wanyama wakali Jike na Dume! Hakuna kama nyinyi Africa Mashariki na Kati!
 
Simba Wanawake wapo vile wale wanaume hapana tuongee ukweli..wale wa kiume zaidi wanategemea figisu na mpira wa midomoni,na kuzitafuta red card na penati ndio wapate ushindi!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Unawazimu ww. Mara ngap simba katinga group stage Africa? Kwa penalty zp? Nyie timu tenu since 1998. Aibu WASHENZI SN
 
Kuna watu wakiambiwa MO kaisaidia Simba sana wanakataa. Ila haya mafanikio kwa asilimia 100 ni mkono wa MO.

Sisi twaangalia leo na kudai Simba ina thamani zaidi, ila hatuangalii 2016 ambapo hali ilikuwa mbaya au 2013 ambapo tulikuwa wa ajabu ajabu.
 
hela zote mnazopata huwa mnapeleka wapi, simba haina asset jiulize leo kesho mo akiondoka simba inabaki na nini? mabasi yote yale mnakodisha africarriers
 
hela zote mnazopata huwa mnapeleka wapi, simba haina asset jiulize leo kesho mo akiondoka simba inabaki na nini? mabasi yote yale mnakodisha africarriers
Hivi unadhani kuendesha timu ni kitu rahisi eeeh? Unadhani hapo wamefikaje? Ndio matumizi yake..watu wameweka hela wakafanya usajili mzuri na leo umewalipa..Usione hizi pesa ukadhani ni nyingi..kuna gharama sana kuendesha hizi timu...
 
Kuna watu wakiambiwa MO kaisaidia Simba sana wanakataa. Ila haya mafanikio kwa asilimia 100 ni mkono wa MO.

Sisi twaangalia leo na kudai Simba ina thamani zaidi, ila hatuangalii 2016 ambapo hali ilikuwa mbaya au 2013 ambapo tulikuwa wa ajabu ajabu.
Mabadiliko makubwa ya soka nchi hii yana mkono wa bakhresa kupitia azamtv na mo kupitia simba.

Leo hii watu ndio wanaona umuhimu wa kucheza makundi, zamani ilikuwa ni michuano poa poa, mo aliona simba kuna uwezekano wa kupiga hela, kaweka hela anapiga hela, sioni kosa katika hilo.

Azam tv kapandisha thamani ya ligi yetu.

Watu huwa wanabisha kwa usimba na uyanga tu.
 
Hivi unadhani kuendesha timu ni kitu rahisi eeeh? Unadhani hapo wamefikaje? Ndio matumizi yake..watu wameweka hela wakafanya usajili mzuri na leo umewalipa..Usione hizi pesa ukadhani ni nyingi..kuna gharama sana kuendesha hizi timu...
Jamaa anaangalia faida tu, anasahau wanalipwa mishahara,chakula,usafiri..hako kahela ni nothing kiuendeshaji wa timu.
 
hela zote mnazopata huwa mnapeleka wapi, simba haina asset jiulize leo kesho mo akiondoka simba inabaki na nini? mabasi yote yale mnakodisha africarriers
Pia,
Hao Mabinti wanaishi Maisha duni sana hata kupanga tu hawana uwezo wa kulipa kodi wengi wanaishi kwao au kwenye kambi,
Ngoja tuone mabadiliko msimu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…