Simba Queens yaikung'uta Yanga SC 4-1

Simba Queens yaikung'uta Yanga SC 4-1

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20220108-201630_Chrome.jpg


Akihojiwa na Azam Tv kocha wa Yanga Edna Lema amesema sababu ya kufungwa ni uwepo wa makocha wa kiume kwa Simba Queens.

Ikumbukwe kuwa kocha msaidizi wa Yanga ni Mohamed Hussein Mmachinga. Sijui huyu ni mwanamke?
 
KOCHA WA SIMBA QUEEN: Mchezo ulikuwa mzuri, Yanga princess ni timu kubwa nilijua tu watakuja kutaka kulipiza kisasi, tumewaheshimu, tumewafunga.

KOCHA WA YANGA PRINCESS: Aaah tumefungwa kwa sababu hakuna uwiano, SIMBA kwenye benchi kuna mwanaume.
 
KOCHA WA SIMBA QUEEN: Mchezo ulikuwa mzuri, Yanga princess ni timu kubwa nilijua tu watakuja kutaka kulipiza kisasi, tumewaheshimu, tumewafunga.

KOCHA WA YANGA PRINCESS: Aaah tumefungwa kwa sababu hakuna uwiano, SIMBA kwenye benchi kuna mwanaume.
Hizi timu nilijuaga pengine tatizo ni bench la ufundi la yanga kwa wanaume kumbe hata mademu nao wana tatizo hilo hilo

Kitu chochote ambacho kitaitwa yanga ni lazima kije kuleta matatizo baadaye
 
kocha edna katoa boko ,kauli yake haiendani na uhalisia wa soka ,kocha cku zote anakuw n mtoa mbinu tu bila kujali jinsia yake ,wachezaj wana tekeleza mbinu zake uwanjani..
 
Yaani kwa kifupi anakiri kuwa yupo chini kimbinu mbele ya wanaume yaani anapenda Simba wawe na kocha mwanamke ili yeye aonekane anawaburuza watu maana hadi sasa kwa madem yeye ndo kocha bora so far
 
Huyo madam kocha si kuna kipindi nilisikia alifungasha vilago? Kumbe alirudi yanga.
 
Yanga ni kikundi cha wahuni ,kauli kama hiyo ya Edna lema inatakiwa kulaaniwa na wanawake wote wanaostraggle ktk kufanikiwa,awe kocha wa like au kiume kinachotakiwa ni kufundisha mbinu tu za soka!hakuna kocha wa kike au kiume!
 
Back
Top Bottom