Simba Queens yalamba udhamini wa bilioni 1

Simba Queens yalamba udhamini wa bilioni 1

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
22b8681d223d4a66ae4caec498cbe751_312709597_1303254137156297_3893496692386371382_n.jpg
c071d91f64904ea3b926f255a23171b1_313027773_1206136123268381_7426344271770649192_n.jpg
1f168989acd445538f767e35b58dbdbb_312464703_200349639101879_6068549394102879908_n.jpg


Timu yetu ya Wanawake, @simbaqueensctz leo imeingia mkataba wa udhamini wa miaka mitano na kampuni ya michezo ya kubashiri ya @mbet_tz wenye thamani ya Tsh. bilioni moja.

Simba Queens itaanza kutumia jezi zenye nembo ya M-Bet kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake.

Hii ndiyo maana halisi ya timu kubwa.
 
Back
Top Bottom