Simba rudisheni hawa wachezaji bado wanakichafua

Riz king

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
276
Reaction score
549
1.. Francis NYAMBULA Kahata a.k.a mguu kijiko.. huyu jamaa bado anauwezo wa kuchukua ufadha pale unyamani maana bado anao mwingi sana mguuni

2.. Erasto EDWARD Nyoni jamaa bado anasukuma sana gozi kuliko hata huyo Fabrice Ngoma mwenye pancha

3..Bernard MORRISON mtoto wa Efua bado yuko full magazine pale FAR Rabat.. huyu mwamba atawapa na udambwi udambwi
 
Yule dogo anaengoza kwa magoli Ghana sasahiv anajua. Mchukueni yule

Cc. GENTAMYCINE
 
Ningeweza kukubaliana na wewe kwa Nyoni ila shida ya Simba ni kujua jinsi sahihi ya kutumia wachezaji ambao umri umeenda. Hii shida ilikuwepo msimu uliopita na imeendelea mpaka sasa. Saido, Boko, Chama, Kapombe, Zimbwe hawa ni wa kuwapa dakika 2-5 tu za mwisho wa mchezo wakati timu imeshapata ushindi na mechi zingine hawachezi kabisa, badala yake hawa ndiyo wanacheza dakika 90 kila mechi na wanategemewa kuleta ushindi.
 
Mimi nashauri Ismail Aden Rage arejeshwe kwenye nafasi ya Uenyekiti. Maana mashabiki wengi hawamtaki Mwenyekiti wa sasa; Comrade Murtazar Mangungu.

Naamini Rage akirejea, mashabiki wote wakorofi watanyooka kama rula.
 
Mimi nashauri Ismail Aden Rage arejeshwe kwenye nafasi ya Uenyekiti. Maana mashabiki wengi hawamtaki Mwenyekiti wa sasa; Comrade Murtazar Mangungu.

Naamini Rage akirejea, mashabiki wote wakorofi watanyooka kama rula.
Aahaaaahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…