Tetesi: Simba S.C haina mpango wa kuongeza mchezaji yeyote

Tetesi: Simba S.C haina mpango wa kuongeza mchezaji yeyote

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Taarifa za ndani kabisaa zinasema klabu ya Simba imesitisha mpango wa kuongeza wachezaji dilisha hili la usajili, Sababu zilizotolewa ni pamoja na kukosekana kwa wachezaji wazuri sokoni kipindi hiki cha katikati ya msimu.

Pia sababu zingine ni ugumu uliopo kwenye kuvunja mikataba ya wachezaji wa kigeni kwani idadi ya wachezaji 12 tayari imetimia kwaio ili timu iweze sajili mchezaji wa kigeni ni lazima iwavunjie mikataba hawa waliopo jambo ambalo uongozi umeona uachane nalo kwa sasa.

Simba nguvu moja[emoji881][emoji881]
 
Ni uamuzi sahihi kwa sasa. Ukileta wachezaji wakaanza kugombania namba ndiyo mambo ya kurogana yanapoanzia. Wachezaji wa akiba inabidi wajijue role yao katika timu na wale tegemeo inabidi wajijue pia. Upungufu wa Simba kwa sasa hausemwi na sio ule watu wanaopigia kelele.
 
Ni uamuzi sahihi kwa sasa. Ukileta wachezaji wakaanza kugombania namba ndiyo mambo ya kurogana yanapoanzia. Wachezaji wa akiba inabidi wajijue role yao katika timu na wale tegemeo inabidi wajijue pia. Upungufu wa Simba kwa sasa hausemwi na sio ule watu wanaopigia kelele.
Hapo naungana nao, dilisha hili ni vigumu kupata wachezaji bora. Pia kuingiza wachezaji wapya kikosini lazima kocha aanze Tena kutengeneza balance ya timu na hapo timu inaweza ku shake kidogo
 
Ni uamuzi sahihi kwa sasa. Ukileta wachezaji wakaanza kugombania namba ndiyo mambo ya kurogana yanapoanzia. Wachezaji wa akiba inabidi wajijue role yao katika timu na wale tegemeo inabidi wajijue pia. Upungufu wa Simba kwa sasa hausemwi na sio ule watu wanaopigia kelele.
Nawaunga mkono. Sana Sana watapigwa bei ya V8 wauziwe Vitz.
 
Taarifa za ndani kabisaa zinasema klabu ya Simba imesitisha mpango wa kuongeza wachezaji dilisha hili la usajili, Sababu zilizotolewa ni pamoja na kukosekana kwa wachezaji wazuri sokoni kipindi hiki cha katikati ya msimu...
Sawa tu
 
Kwa kosi hili la Simba lilopo saizi hakuna haja ya usajiri wa mchezaji mwingine!!, Simba ilitegemea kufanya mabadilishano ya mchezaji Kibu D na kelivin Nashoni Ila uujio wa Robertihno umemuweka kibu salama.

Na anasema hakuna haja ya kusajiri....
 
Hapo naungana nao, dilisha hili ni vigumu kupata wachezaji bora. Pia kuingiza wachezaji wapya kikosini lazima kocha aanze Tena kutengeneza balance ya timu na hapo timu inaweza ku shake kidogo
Hizi ni shudu zaidi ya pumba,
 
Uongozi uweke wazi tu kuwa hawana Hela za usajili hizi tantarila zao wakawadanganye wake zao wapumbavu wakubwa hawa.
R.i.p Hans Pop tunakumiss sana kamanda wetu mpambanaji uliyejitoa Kwa jasho na damu kuipigania Simba
 
Hapo naungana nao, dilisha hili ni vigumu kupata wachezaji bora. Pia kuingiza wachezaji wapya kikosini lazima kocha aanze Tena kutengeneza balance ya timu na hapo timu inaweza ku shake kidogo
Ninyi utopolo wapuuzi sana.
Kibaya zaidi kuna wapenzi wa Simba huwa hawaangalii uzi umeletwa na nani na kwa hiyo ujinga kama huu wanausapoti.


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom