Simba S.C ya 2015-2016, dhidi ya Simba S.C ya 2016-2017 Baada ya Mechi nane

Simba S.C ya 2015-2016, dhidi ya Simba S.C ya 2016-2017 Baada ya Mechi nane

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Hizi kauli za kua Simba ya msimu huu (2016/2017) haina kitu zinanikera sana.
Eti ni kama tu ya msimu uliopita (2015/2016).. Ni nguvu ya soda.. Nafasi yake ni ile ile ya tatu..
Zina ukweli wowote???
Hebu tuzichunguze kwa pamoja.

Simba S.C: Msimu wa 2015/2016.. Mechi nane za Kwanza..

12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
16/09/2015: JKT Mgambo 0 - 2 Simba S.C
20/09/2015: Simba S.C 3 - 1 Kagera Sugar
26/09/2015: Simba S.C 0 - 2 Yanga Yetu
30/09/2015: Simba S.C 1 - 0 Stand United
12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
17/10/2015: Mbeya City 0 - 1 Simba S.C
21/10/2015:
Tanzania Prisons 1 - 0 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 2
Sare: 0
Magoli ya Kufunga; 9
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 18
Na msimamo wa ligi baada ya mechi 8 ulikua hivi..
1476339801008.jpg



Simba S.C: Msimu wa 2016/2017.. Mechi nane za Kwanza..

20/08/2016: Simba S.C 3 - 1 Ndanda
27/08/2016: Ruvu Stars 0 - 0 Simba S.C
07/09/2016: Simba S.C 2 - 1 Ruvu Shooting
11/09/2016: Simba S.C 2 - 0 Mtibwa Sugar
17/09/2016: Azam 0 - 1 Simba S.C
24/09/2016: Simba S.C 4 - 0 Maji Maji
01/10/2016: Yanga Yetu 1 - 1 Simba S.C
12/10/2016: Mbeya City 0 - 2 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 0
Sare: 2
Magoli ya Kufunga; 15
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 20
Na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi..
1476340045677.jpg



ONYO:
SIMBA S.C hii ya 2016/2017 ni hatari sana.. Weka Mbali na WATOTO.
 
Ligi bado sana don't hope too much. Hata huyo azam hiyo namba 8 hapo sio yake na huyo stand united atakaa pembeni siku sio nyingi azipishe namba za watu
 
Ligi bado sana don't hope too much. Hata huyo azam hiyo namba 8 hapo sio yake na huyo stand united atakaa pembeni siku sio nyingi azipishe namba za watu
Sijabisha kua ligi bado sana.. Nilichojaribu kukionesha hapa, ni kuwajibu Ndala na ndugu zao kua Simba S.C ya sasa tumedhamiria.. na ni tofauti sana na ya mwaka uliopita.
Simba S.C hii ni ya Mabadiliko.
 
Sijabisha kua ligi bado sana.. Nilichojaribu kukionesha hapa, ni kuwajibu Ndala na ndugu zao kua Simba S.C ya sasa tumedhamiria.. na ni tofauti sana na ya mwaka uliopita.
Simba S.C hii ni ya Mabadiliko.
Ni kweli mkuu.mwaka huu simba wapo vizuri sana
 
Uendelee kuwa na kasi hii hii ya ku post lisije kutokea tatizo kama la mwaka wa jana mpaka watu wakaanza kukurehemu humu game na jangwani ulisema ulikuwa nje ya mji tumekubali. Nb:kwema lakini mtani?

Haha.. Kumbe raia walianza hadi kunirehemu?! Hii kasi ni mwanzo mwisho.

Ni kwema Mtani.. Huku kwetu ni [emoji111] bila.. Kwenu vipi??
 
Haha.. Kumbe raia walianza hadi kunirehemu?! Hii kasi ni mwanzo mwisho.

Ni kwema Mtani.. Huku kwetu ni [emoji111] bila.. Kwenu vipi??
Tunashukuru tupo vizuri yaah watu walienda mbali maana ulijichimbia kweli
 
Hizi kauli za kua Simba ya msimu huu (2016/2017) haina kitu zinanikera sana.
Eti ni kama tu ya msimu uliopita (2015/2016).. Ni nguvu ya soda.. Nafasi yake ni ile ile ya tatu..
Zina ukweli wowote???
Hebu tuzichunguze kwa pamoja.

Simba S.C: Msimu wa 2015/2016.. Mechi nane za Kwanza..

12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
16/09/2015: JKT Mgambo 0 - 2 Simba S.C
20/09/2015: Simba S.C 3 - 1 Kagera Sugar
26/09/2015: Simba S.C 0 - 2 Yanga Yetu
30/09/2015: Simba S.C 1 - 0 Stand United
12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
17/10/2015: Mbeya City 0 - 1 Simba S.C
21/10/2015:
Tanzania Prisons 1 - 0 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 2
Sare: 0
Magoli ya Kufunga; 9
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 18
Na msimamo wa ligi baada ya mechi 8 ulikua hivi..
View attachment 417214


Simba S.C: Msimu wa 2016/2017.. Mechi nane za Kwanza..

20/08/2016: Simba S.C 3 - 1 Ndanda
27/08/2016: Ruvu Stars 0 - 0 Simba S.C
07/09/2016: Simba S.C 2 - 1 Ruvu Shooting
11/09/2016: Simba S.C 2 - 0 Mtibwa Sugar
17/09/2016: Azam 0 - 1 Simba S.C
24/09/2016: Simba S.C 4 - 0 Maji Maji
01/10/2016: Yanga Yetu 1 - 1 Simba S.C
12/10/2016: Mbeya City 0 - 2 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 0
Sare: 2
Magoli ya Kufunga; 15
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 20
Na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi..
View attachment 417218


ONYO:
SIMBA S.C hii ya 2016/2017 ni hatari sana.. Weka Mbali na WATOTO.

Kwa Simba bado mechi 22 kumaliza ligi na Yanga bado mechi 23 kumaliza ligi nayo Azam bado michezo 22 kumaliza ligi....kwa raundi ya kwanza Azam na Simba zimebakiwa na michezo 7 kila mmoja wakati Yanga imebakiwa na michezo nane...tusubiri tuone mwisho wa 'mbio hizi za marathon' ni nani ataibuka mshindi...
 
Hizi kauli za kua Simba ya msimu huu (2016/2017) haina kitu zinanikera sana.
Eti ni kama tu ya msimu uliopita (2015/2016).. Ni nguvu ya soda.. Nafasi yake ni ile ile ya tatu..
Zina ukweli wowote???
Hebu tuzichunguze kwa pamoja.

Simba S.C: Msimu wa 2015/2016.. Mechi nane za Kwanza..

12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
16/09/2015: JKT Mgambo 0 - 2 Simba S.C
20/09/2015: Simba S.C 3 - 1 Kagera Sugar
26/09/2015: Simba S.C 0 - 2 Yanga Yetu
30/09/2015: Simba S.C 1 - 0 Stand United
12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
17/10/2015: Mbeya City 0 - 1 Simba S.C
21/10/2015:
Tanzania Prisons 1 - 0 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 2
Sare: 0
Magoli ya Kufunga; 9
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 18
Na msimamo wa ligi baada ya mechi 8 ulikua hivi..
View attachment 417214


Simba S.C: Msimu wa 2016/2017.. Mechi nane za Kwanza..

20/08/2016: Simba S.C 3 - 1 Ndanda
27/08/2016: Ruvu Stars 0 - 0 Simba S.C
07/09/2016: Simba S.C 2 - 1 Ruvu Shooting
11/09/2016: Simba S.C 2 - 0 Mtibwa Sugar
17/09/2016: Azam 0 - 1 Simba S.C
24/09/2016: Simba S.C 4 - 0 Maji Maji
01/10/2016: Yanga Yetu 1 - 1 Simba S.C
12/10/2016: Mbeya City 0 - 2 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 0
Sare: 2
Magoli ya Kufunga; 15
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 20
Na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi..
View attachment 417218


ONYO:
SIMBA S.C hii ya 2016/2017 ni hatari sana.. Weka Mbali na WATOTO.
Mkuu, naomba ucheck hapo kwenye rangi nyekundu tafadhali.
 
hii tff nayo jipu kuna team zina match 7 nyingine zina 10 kwanini lkn???
 
Stend naona wamedhamiria msimu huu.Ila tukimfunga na tusipo ruhusu droo yeyote,ubingwa tunabeba.Azam wakaze tu kwa mpakato fc J2.
 
Stend naona wamedhamiria msimu huu.Ila tukimfunga na tusipo ruhusu droo yeyote,ubingwa tunabeba.Azam wakaze tu kwa mpakato fc J2.
Mkuu hawa Stand United tutawapiga nyingi.. Hawataami.
Nina Imani kubwa na "ndugu zetu'' Azam FC.. Kila la heri lamba lamba.
 
Hizi kauli za kua Simba ya msimu huu (2016/2017) haina kitu zinanikera sana.
Eti ni kama tu ya msimu uliopita (2015/2016).. Ni nguvu ya soda.. Nafasi yake ni ile ile ya tatu..
Zina ukweli wowote???
Hebu tuzichunguze kwa pamoja.

Simba S.C: Msimu wa 2015/2016.. Mechi nane za Kwanza..

12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
16/09/2015: JKT Mgambo 0 - 2 Simba S.C
20/09/2015: Simba S.C 3 - 1 Kagera Sugar
26/09/2015: Simba S.C 0 - 2 Yanga Yetu
30/09/2015: Simba S.C 1 - 0 Stand United
12/09/2015: African Sports 0 - 1 Simba S.C
17/10/2015: Mbeya City 0 - 1 Simba S.C
21/10/2015:
Tanzania Prisons 1 - 0 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 2
Sare: 0
Magoli ya Kufunga; 9
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 18
Na msimamo wa ligi baada ya mechi 8 ulikua hivi..
View attachment 417214


Simba S.C: Msimu wa 2016/2017.. Mechi nane za Kwanza..

20/08/2016: Simba S.C 3 - 1 Ndanda
27/08/2016: Ruvu Stars 0 - 0 Simba S.C
07/09/2016: Simba S.C 2 - 1 Ruvu Shooting
11/09/2016: Simba S.C 2 - 0 Mtibwa Sugar
17/09/2016: Azam 0 - 1 Simba S.C
24/09/2016: Simba S.C 4 - 0 Maji Maji
01/10/2016: Yanga Yetu 1 - 1 Simba S.C
12/10/2016: Mbeya City 0 - 2 Simba S.C

Ukichunguza mechi hizo utagundua..
Idadi ya Mechi: Nane (8)
Alizoshinda: 6
Alizofungwa: 0
Sare: 2
Magoli ya Kufunga; 15
Magoli ya Kufungwa; 4
Pointi; 20
Na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi..
View attachment 417218


ONYO:
SIMBA S.C hii ya 2016/2017 ni hatari sana.. Weka Mbali na WATOTO.
cc 1954 na 'ndugu yake' ZENITH
 
Back
Top Bottom