Simba S.C ya 2015-2016, dhidi ya Simba S.C ya 2016-2017 Baada ya Mechi nane

Mkuu, Bodi ya Ligi ambayo wapo responsible na kupanga mechi za VPL, ni jipu.. ambalo limeiva.

Na katika hili.. Hakuna mwenye uthubutu wa kutuzuia.
Hao hata wabaki na vipolo 10 hawatukut[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Leta na takwimu za kung'oa viti


2012/2013 = Yanga Yetu waling'oa viti 215 dhidi ya Azam
2013/2014 = Simba waliong'oa viti 170 dhidi ya Kagera sugar
2014/2015 = Yanga yetu waling'oa viti 110 dhidi ya Al Ahly na mashabiki wao wa jezi nyekundu kama za Simba
2015/2016 = 0
2016/2017 = Simba wameng'oa karibu 700

Itaendelea, bila kusahau uvunjaji wa mageti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…