Kazi ilishaisha last Sunday tu..tusubili msimu ujaoBaada ya ushindi wa Jumapili; uongozi wa Simba usijisahau sana Jumamosi Kuna match ngumu sana kuliko ya Yanga
Uhamasishaji ufanyike na Pia Kikosi kijiandae kwa nguvu zote
SISI HATUNA UHABA WA MAKAMBE TUNA MAKOMBE ZAIDI YA 30. habari za makombe waambie IHEFU.Simba kumfunga Yanga ndio kombelenyewe, Malengo yamesha timia maswala ya vikombe sio kipaumbele Kwa Sasa.
Na iyo ndio level ya Simba, Sasa kutaka kujifananisha na wakubwa nyie bado sana.SISI HATUNA UHABA WA MAKAMBE TUNA MAKOMBE ZAIDI YA 30. habari za makombe waambie IHEFU.
KIKUBWA TUMEWASOKOMEZA MWIKO NYUMA BASI.
Club bingwa ndio mashindano yanatoa mshiriki wa club bingwa ya DuniaNa iyo ndio level ya Simba, Sasa kutaka kujifananisha na wakubwa nyie bado sana.
Simba wana akiliBaada ya ushindi wa Jumapili; uongozi wa Simba usijisahau sana Jumamosi kuna match ngumu sana kuliko ya Yanga.
Uhamasishaji ufanyike na pia Kikosi kijiandae kwa nguvu zote.
Umeumia sana utopolo uliwa bila mafuta nyinyi sindo mlikuwa mnatuambia kuwa eti hakuna timu ya kuifunga utopolo E.Africa nzima sasa imekuwaje?Simba kumfunga Yanga ndio kombelenyewe, Malengo yamesha timia maswala ya vikombe sio kipaumbele Kwa Sasa.
Bado hujaanza kutambaa ila unawaza kukimbia, si akili za "sizitaki mbichi hizi"? [emoji847]Club bingwa ndio mashindano yanatoa mshiriki wa club bingwa ya Dunia
Bado vipi wakati yupo huko kwa walikobakia wakubwa watupu. Wewe si ulikuwa unafanya sherehe za anibiteni za ruvu? Wakubwa wanashindana na wakubwa wenzao wadogo wote wapo huko shirikishoni. Aibu sanaNa iyo ndio level ya Simba, Sasa kutaka kujifananisha na wakubwa nyie bado sana.
Sasa na nyie Yanga level yenu nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umevurugwaa weeNa iyo ndio level ya Simba, Sasa kutaka kujifananisha na wakubwa nyie bado sana.