Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kule Joyce,huko Debora.Klabu ya wanywa wanzuki kariakoo simba
Ipo kwenye mazumgumzo ya mwisho kunasa saini ya mchezaji raia wa zambia ndugu Debora .
Kiungo huyo machachari kabisa anayemiliki dimba la chini atakuja kuongeza nguvu za kike pindi simba itakapokutana na yanga yenye wanaume shupavu na wenye ugwadu kama Khalid aucho..
Binafsi naipongeza simba kwa usajiri huu makini
Lomalisa anaweza kuondokaSijui unapata wapi ujasiri kuandika hayo wakati mmekuwa na mchezaji tegemeo kama Joyce. Uto huwa ni wasahaulifu sana nyie viumbe
Sasa simba wametuletea DeboraMara joyce, tena debora? Duh! Inaweza ikawa helena kama yupo angel di maria haitashangaza
Naomba jina lake kamili tafadhali! Anaitwa Debora nani? Debora Mangungu, au Debora Kigwangala?Klabu ya wanywa wanzuki kariakoo simba
Ipo kwenye mazumgumzo ya mwisho kunasa saini ya mchezaji raia wa zambia ndugu Debora .
Kiungo huyo machachari kabisa anayemiliki dimba la chini atakuja kuongeza nguvu za kike pindi simba itakapokutana na yanga yenye wanaume shupavu na wenye ugwadu kama Khalid aucho..
Binafsi naipongeza simba kwa usajiri huu makini
View attachment 3026600
Debora mavamba 24 yrs kutoka mutondo stars ya ligi ya MTN zambiaNaomba jina lake kamili tafadhali! Anaitwa Debora nani? Debora Mangungu, au Debora Kigwangala?
Debora Yikpe maarufu kama Skudu Mamadou DoumbiaNaomba jina lake kamili tafadhali! Anaitwa Debora nani?
Atakuwa Debora Glazerbhai Mwamedi Kanjibai.Naomba jina lake kamili tafadhali! Anaitwa Debora nani? Debora Mangungu, au Debora Kigwangala?
Sisi kama simba tutamsajiri kelvin KapumbuKlabu ya wanywa wanzuki kariakoo simba
Ipo kwenye mazumgumzo ya mwisho kunasa saini ya mchezaji raia wa zambia ndugu Debora .
Kiungo huyo machachari kabisa anayemiliki dimba la chini atakuja kuongeza nguvu za kike pindi simba itakapokutana na yanga yenye wanaume shupavu na wenye ugwadu kama Khalid aucho..
Binafsi naipongeza simba kwa usajiri huu makini
View attachment 3026600
Zabron DeboraNaomba jina lake kamili tafadhali! Anaitwa Debora nani? Debora Mangungu, au Debora Kigwangala?