Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Leo ni sikukuu kwa wapenda kandanda nchini Tanzania.
Mnyama Mkubwa mwituni, Simba Sc atashuka katika dimba la Benjamin Mkapa kucheza dhidibya RS Berkane ya Morocco majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Simba itaingia dimbani huku ikiwakaribisha nyota wake waliotoka majeruhi kama Chris Mugalu, Kibu Denis, Jonas Mkude, Tadeo Lwanga, Bwalya huku ikiwakosa Hassan Dilunga na Chama (ambaye sheria zinambana)
Simba itahitaji ushindi wa hali kwa mali ili kujiwekq katika nafasi nzuri ya kufuzu kwenda robo fainali ya michuano hiyo.
RS Berkane wakiwa ugenini wamekuwa na tabia ya kuruhusu magoli hivyo Simba ikitulia vizuri leo wanaweza wakavuna alama 3 muhimu.
Mechi ni saa 10:00 kupitia Utv ya Azam Tv.
Mijadala, updates na yote kuhusu mechi hii utapata dondoo kupitia uzi huu...karibuni sana
Simba nguvu moja!!
=====
44' ⚽Sakho anaitanguliza Simba kwa goli murua, Simba 1-0 Berkane
45' Dakika nne zimeongezwa kuhitimisha kipindi cha kwanza, Simba SC VS RS Berkane
90+4' Filimbi inapulizwa kuashiria mwisho wa mchezo na Simba inashika usukani wa kundi D ikiwa na alama 7.
Mnyama Mkubwa mwituni, Simba Sc atashuka katika dimba la Benjamin Mkapa kucheza dhidibya RS Berkane ya Morocco majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Simba itaingia dimbani huku ikiwakaribisha nyota wake waliotoka majeruhi kama Chris Mugalu, Kibu Denis, Jonas Mkude, Tadeo Lwanga, Bwalya huku ikiwakosa Hassan Dilunga na Chama (ambaye sheria zinambana)
Simba itahitaji ushindi wa hali kwa mali ili kujiwekq katika nafasi nzuri ya kufuzu kwenda robo fainali ya michuano hiyo.
RS Berkane wakiwa ugenini wamekuwa na tabia ya kuruhusu magoli hivyo Simba ikitulia vizuri leo wanaweza wakavuna alama 3 muhimu.
Mechi ni saa 10:00 kupitia Utv ya Azam Tv.
Mijadala, updates na yote kuhusu mechi hii utapata dondoo kupitia uzi huu...karibuni sana
Simba nguvu moja!!
=====
44' ⚽Sakho anaitanguliza Simba kwa goli murua, Simba 1-0 Berkane
45' Dakika nne zimeongezwa kuhitimisha kipindi cha kwanza, Simba SC VS RS Berkane
90+4' Filimbi inapulizwa kuashiria mwisho wa mchezo na Simba inashika usukani wa kundi D ikiwa na alama 7.