Simba Sc 2-0 Selem View Fc | Mapunduzi Cup | Zanzibar

ametoka Sakho pale mbele tayar pamepwaya aisee dah
 
Lete sababu
Ndg. yangu ss wengine tunafatilia mpira kitambo sana tangu enzi za David Ginola, tuna uwezo wa kumjua mchezaji kama ni mzuri akigusa mpira mara moja tu.
Huyu jamaa kwanza umri mkubwa 30+, hajiamini, hana uthubutu wa ku take-on defenders.
Halaf ukumbuke anacheza dhidi ya Selem sio Prisons wala Berkane.
Kwa kifupi hana kiwango cha kuchezea Simba.
 

Ronaldo Ana 36 na Anacheza, Zlatan Ndio usiseme. Huyu Muda aliocheza Kacheza Vizuri kuliko baadhi ya Wachezaji waliopo Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…