ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
-
- #21
Kila anachofanya anakosea. Nimecheka Sana... Masikini Makolo sijui mnawaokotaga wapi wachezaji kama hao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Mtu anaitwa Jimmyson sijui Alikuja Simba Kufanya nini
Pole Utopolo , Huyo Jimmyson katoka Gwambina FC.. ni kijana mdogo mwaka jana alimaliza ligi akiwa na goli 7 mkononi.Kila anachofanya anakosea. Nimecheka Sana... Masikini Makolo sijui mnawaokotaga wapi wachezaji kama hao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]