Ndio, Yupo ZenjiShibob karudi?
Safari hii Simba imeamua kuweka full mziki kwenye mapinduzi cup
Simba will make it.. It won't let us downMapinduzi Cup leo Jumatano Saa 10:15 jioni, Simba SC kuanza michuano hii kwa kumenyana na Selem View ambao walipata sare tasa mechi ya kwanza.
Je, leo ni Simba ama Selem View nani kupata ushindi wa kwanza?
Lakini Kubwa zaidi ni kuona Viwango vya wachezaji.
Tuwe hapa