Simba Sc 2-0 Selem View Fc | Mapunduzi Cup | Zanzibar

Mashabiki wanapiga shangwe kuona vipasi utamu vinavyopigwa hapa na simba, ila ndo hawa hawa tukifungwa wanasahahu yote haya
 
Sakho kacheza mpira sio wa galaxy hii, mchezaji wa selem vie imembidi acheze faulo ili kuchukua mpira
 
Aaaah aaah aaah huyu sakho huyu aisee
 
Mnyama leo anacheza kiutu uzima sana, wala hatumii nguvu.
 
First half ilitakiwa iishe kwa bao 5 -0
 
Hapana theres something extra kwa kuyu jamaa

Sakho anavyopiga vyenga na kudaivu ile miguu anavyo spin na kufanya turning za kibabe, miguu ina footwork ya hali ya juu mpaka unaweza kuhisi anatumia mikono kuchezea mpira namna ilivyo flexible

Huyu jamaa ni kama anakuja kufanya kebehi na kuwakasirisha mabosi wa timu pinzani waone kama wachezaji wao hawana thamani na wameingia hasara kusajili mchezaji ambaye hana hata uwezo nusu robo ya kufanya kile anachokifanha sakho

Kwa mara ya kwanza sakho anakuja kuwaaminisha watu kwamba mpira sio mgumu kama watu ambavyo wanasema,

Na mimi pia nawapa funzo watu ambao wamekuwa na trend ya kuwa na mahaba kwa wachezaji wenu kwamba kabla hujamsifia mchezaji fulani kwamba ni mkali ebu mcheki sakho halafu ukate tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…