NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Uyu Sakho hapa bongo tunamdhalilisha kwakweli,mpaka sasa ajajengewa sanamu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]we huoni havina hata nguvu bora kanoute ametoka maana alikuwa anawaomea bure wakaka wa forodhani
Uyu Sakho hapa bongo tunamdhalilisha kwakweli,mpaka sasa ajajengewa sanamu!
*_Klabu ya Simba wamemalizana na Moses Phiri, Mchezaji wa ZANACO na raia wa ZambiaPhiri utamsikia kwenye bomba tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Itakua ni fayaaaaaaSasa Chama aje Acheze Sakho Mbona Luis Tumsahau Kesho tuu
kumbe ndiyo maana huna nguvu[emoji1787][emoji1787]
Urojo mtamu ila ,
Nani hana nguvu ?kumbe ndiyo maana huna nguvu
Tinsley [emoji12][emoji12]Nani hana nguvu ?
Msijidanganye, Moukoro hana kiwango cha kucheza Simba.
kuna pasi za chini chini kutanguliza mbele anazipatia sanaKuna Mchambuzi Alisema Huyu Moukoro Ni Garasaaa sasa Atakuwa ameona Motoo
Nguvu watoe wapi hao wala urojoHawa selem wanacheza rough halafu wao ndio wanaumia
[emoji1787][emoji1787]Tinsley [emoji12][emoji12]
[emoji1787]kwel hujui [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie nguvu za nini ?