mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mkuu, shirki haichezi mpira, ingekuwa hivyo Afrika tungekuwa mabingwa wa soka.Mvua imenyesha.ndala kufa lazima.
Hao wamekuja kuangalia mechi bure tu, polisi wa Bongo hawawezi kugeukia mashabiki wakati mechi ikiendekea.Polisi ni wengi mno Kama kipindi kile cha uchaguzi
Mpendwa Upo? Umetabiri Kama Mimi.Haya hayaaaaaa,mikia tukutane jioni Taifa.
Utabiri wangu ni Yanga 1-0,au mkijitahidi sana tutatoka suluhu (0-0)
Forever Young Africans
Hizi imani mpaka leo bado zimo kwenye soka letu!!!!Mvua imenyesha.ndala kufa lazima.
Acha maneno mengi.subiri kipigo.Mkuu, shirki haichezi mpira, ingekuwa hivyo Afrika tungekuwa mabingwa wa soka.
Vv
Unauliza makofi central?Hizi imani mpaka leo bado zimo kwenye soka letu!!!!
Tatizo hujawahi penda ukweli, sasa subiri ukweli Ili ujijue vizuri tabia yako.Napenda Yanga afungwe 3-0 na Simba
Nipo mpenziUpo shost nimefurahi kukusikia!