Simba SC 3-0 JKT Tanzania FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Vodacom Premier League VPL

Mkuu Simba ilicheza na back three, yaani

Wawa. Kennedy. Nyoni

Kapombe. Lwanga. Mzamiru. Zimbwe

Miquesson. Chama

Mugalu

Ila inaposhambulia Nyoni alikua anaongezeka ndani anacheza na Lwanga ,kisha mzamiru anasogea juu zaidi kuwa connect ya Mugalu ,Chama na luis

Wakati huo pale nyuma anabaki Wawa na Kennedy.Kennedy jana alikua kama stopper ndamana uliona jana Kennedy aliinjoi sana maana kazi zote zilifanywa na Nyoni na Wawa yeye alikua anaokota tu anapiga kulia anapiga kushoto.

Kapombe na zimbwe walikua ma wingbacks wakianzia kwenye mstari wa kati kati ya uwanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…